MamaEE
Member
- Jun 2, 2011
- 99
- 57
Na mimi naomba pm on strategy na mchakato mzima.
Jmosi naenda kuangalia soko la mafuta alizeti na chakula cha mifugo kwani nitakuwa na pumba na mashudu ya aliziti ambayo ni chakula cha mifugo Nina wapeleka maeneo ambayo watu wanafanya kazi hizo soko langu hamuwezi kulijuwa hata ukilijuwa hamuwezi kufanya competion kwa jinsi nilivyo wasoma !