Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,852
- 16,750
Huwa sipatagi jibu, hivi ukisha oa mke wa kwanza, then unataka kuoa mke wa pili, tatu
4...... unamwambiaje mkeo uliyenaye? na mke wa kwanza si atakataa tu au wanalazimishwaga nini, maskini, mapenzi haya, utumwa kibao
1. kwamba naoa ili uwe na familia kubwa? na una discuss naye
2. naoa mke wa tatu, nne ili mfanye kazi pamoja ambayo najua haiwezekani
3. au mwanaume anamwmabia naoa ili nisitoke nje ya ndoa
4. Au dini inaruhusu, bila kujali mawazo ya mkeo uliyenaye
5. au nimemwona mwanamke mzuri heri nioe tu, ila bado nakupenda mpenzi usijali
6. au nina uwezo wa fedha unamwabia acha nioe mke mwingine ila ww ndiye mama
mkubwa na ndio una mamlaka yote.... au, au, au....... UONGO KIBAO, tamaa tu unaficha.
7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi
Nimemaliza, assist me plse, mm jibu namba 7 ambalo halisemwi ndio sahihi kwangu,
period...
4...... unamwambiaje mkeo uliyenaye? na mke wa kwanza si atakataa tu au wanalazimishwaga nini, maskini, mapenzi haya, utumwa kibao
1. kwamba naoa ili uwe na familia kubwa? na una discuss naye
2. naoa mke wa tatu, nne ili mfanye kazi pamoja ambayo najua haiwezekani
3. au mwanaume anamwmabia naoa ili nisitoke nje ya ndoa
4. Au dini inaruhusu, bila kujali mawazo ya mkeo uliyenaye
5. au nimemwona mwanamke mzuri heri nioe tu, ila bado nakupenda mpenzi usijali
6. au nina uwezo wa fedha unamwabia acha nioe mke mwingine ila ww ndiye mama
mkubwa na ndio una mamlaka yote.... au, au, au....... UONGO KIBAO, tamaa tu unaficha.
7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi
Nimemaliza, assist me plse, mm jibu namba 7 ambalo halisemwi ndio sahihi kwangu,
period...