Wana JF kwa wale wanao-oa mke wa pili au tatu... unamwambiaje mkeo uliye naye.!!??

Mhhh wakati mwingine kuna mambo yanashangaza sana,

Umeoa wa pili baada ya kuona mkeo hazai- Je kama wewe ungekuwa huna uwezo wa kuzaa, ungemruhusu mkeo azae na mtu mwingine?

Haya umesema umeoa baada ya 15 years kukaa na huyo wa kwanza, na ukajaliwa kupata watoto 4, that means kama kwa wastani ulioa ukiwa na miaka 28-30 hadi unaoa mke wa pili ulikuwa kati ya (28+15=43) au (30+15=45) , haya ukazaa na mke wa pili watoto 4 , tuasume mke wa pili alikuwa anazaa kila mwaka i.e. 43+4 au 45+4 hivyo ulikuwa 47 au 49, haya mara tena ukashauriana sana na wake zako hao wawili kuongeza watatu that means uliingia kwenye ndoa ya tatu ukiwa na takribani miaka 50.

Binafsi haiingii akilini katika mipango ya kawaida ya familia, tayari una mke, umekiri sababu ya kuongeza ni watoto haya wa pili kazaa watoto 4, haya una miaka 50 tena unataka mapenzi mapya , huoni kuanzisha familia ingine ukiwa na miaka 50 ni kujipa tu presha na watoto kukuita babu.

Kwa maoni yangu naona kila binadamu (ikiwa mwanamke) ameumbwa na hisia , akubalike, apendwe pamoja na mapungufu yake ya kimaumbile. Nadharia ya ndoa kiafrika bado ni ngumu sana, watu wanaingia kwenye ndoa ili kuwafurahisha wengine (wazazi, ukoo, jamii) na hawajakubaliana kwa udhati wao wawili ni nini hasa maana ya wao kuwa kwenye ndoa), je ni watoto ndio wanakamilisha ndoa? ni furaha ya wawili au ni nini? pale tu wapenzi wanapojua maana ya ndoa kati yao basi pamoja na mapungufu ya kimaumbile ambayo mwenyezi Mungu anaweza akampa yoyote basi watu wataendelea kuishi kwa mapenzi na kuvumiliana.

Dhana ya kusema nilimwomba mke wangu / wake zangu wakakubali siafiki nalo kwa mawazo yangu. Ni binadamu gani anapenda apunguziwe upendo? ni nani hapendi kuthaminiwa, kuonekana muhimu ? Napata wakati mgumu sana kukubaliana na dhana ya mwanaume kuwa na wake wengi licha ya imani kuruhusu. Maana ni lazima utampenda mmoja zaidi na kumsononesha mwingine.

hapo kwenye RED ee bwana umemaliza kila kitu, thank you saaaaana:A S 41::A S 41::A S 41::clap2::clap2::clap2::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Hiyo namba saba ndo jibu sahihi.

Lakini jamani mwanaume anapotaka kuoa hawezi muuliza mkewe atakuja na jibu tayari mie naoa sio unaonaje nikioa??

Ila kiufupi ni Zinaa tu ndo zinasumbua hebu fikiria kwa upande wa pili kama mkeo nae angekuwa na mume humu ndani utajisikiaje??

Inauma sana basi tu wanawake wanakuwa wavumilivu, yaani unajua kabisa jamaa linachakachuachumba cha pili au nyumba ya pili na wewe umelala peke yako?? Yataka moyo aisee mimi na wivu wangu siwezi kabisa.
 
Mhhh wakati mwingine kuna mambo yanashangaza sana,

Umeoa wa pili baada ya kuona mkeo hazai- Je kama wewe ungekuwa huna uwezo wa kuzaa, ungemruhusu mkeo azae na mtu mwingine?

Haya umesema umeoa baada ya 15 years kukaa na huyo wa kwanza, na ukajaliwa kupata watoto 4, that means kama kwa wastani ulioa ukiwa na miaka 28-30 hadi unaoa mke wa pili ulikuwa kati ya (28+15=43) au (30+15=45) , haya ukazaa na mke wa pili watoto 4 , tuasume mke wa pili alikuwa anazaa kila mwaka i.e. 43+4 au 45+4 hivyo ulikuwa 47 au 49, haya mara tena ukashauriana sana na wake zako hao wawili kuongeza watatu that means uliingia kwenye ndoa ya tatu ukiwa na takribani miaka 50.

Binafsi haiingii akilini katika mipango ya kawaida ya familia, tayari una mke, umekiri sababu ya kuongeza ni watoto haya wa pili kazaa watoto 4, haya una miaka 50 tena unataka mapenzi mapya , huoni kuanzisha familia ingine ukiwa na miaka 50 ni kujipa tu presha na watoto kukuita babu.

Kwa maoni yangu naona kila binadamu (ikiwa mwanamke) ameumbwa na hisia , akubalike, apendwe pamoja na mapungufu yake ya kimaumbile. Nadharia ya ndoa kiafrika bado ni ngumu sana, watu wanaingia kwenye ndoa ili kuwafurahisha wengine (wazazi, ukoo, jamii) na hawajakubaliana kwa udhati wao wawili ni nini hasa maana ya wao kuwa kwenye ndoa), je ni watoto ndio wanakamilisha ndoa? ni furaha ya wawili au ni nini? pale tu wapenzi wanapojua maana ya ndoa kati yao basi pamoja na mapungufu ya kimaumbile ambayo mwenyezi Mungu anaweza akampa yoyote basi watu wataendelea kuishi kwa mapenzi na kuvumiliana.

Dhana ya kusema nilimwomba mke wangu / wake zangu wakakubali siafiki nalo kwa mawazo yangu. Ni binadamu gani anapenda apunguziwe upendo? ni nani hapendi kuthaminiwa, kuonekana muhimu ? Napata wakati mgumu sana kukubaliana na dhana ya mwanaume kuwa na wake wengi licha ya imani kuruhusu. Maana ni lazima utampenda mmoja zaidi na kumsononesha mwingine.

Labda hujasoma vizuri, ndoa ya tatu bado, ndio naitafuta.

Ningekuwa mimi ndio sina uwezo wa kuzaa, basi mwanamke angeniacha ni RUKSA kiIslam mwanamke kukuacha (soma post # 18).

Maswali mengine muulize Slaa, kwani nadhani kidini yake yeye anafanya "7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi".
 
Labda hujasoma vizuri, ndoa ya tatu bado, ndio naitafuta.

Ningekuwa mimi ndio sina uwezo wa kuzaa, basi mwanamke angeniacha ni RUKSA kiIslam mwanamke kukuacha (soma post # 18).

Maswali mengine muulize Slaa, kwani nadhani kidini yake yeye anafanya "7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi".

We! we! we! umemtaja slaa? 2taandamana we fanya mzaha 2.
 
Zinaa zinasumbua tu hapa mke mmoja anatosha yanini ujipe shida bwana???
 
Huwa sipatagi jibu, hivi ukisha oa mke wa kwanza, then unataka kuoa mke wa pili, tatu
4...... unamwambiaje mkeo uliyenaye? na mke wa kwanza si atakataa tu au wanalazimishwaga nini, maskini, mapenzi haya, utumwa kibao

1. kwamba naoa ili uwe na familia kubwa? na una discuss naye
2. naoa mke wa tatu, nne ili mfanye kazi pamoja ambayo najua haiwezekani
3. au mwanaume anamwmabia naoa ili nisitoke nje ya ndoa
4. Au dini inaruhusu, bila kujali mawazo ya mkeo uliyenaye
5. au nimemwona mwanamke mzuri heri nioe tu, ila bado nakupenda mpenzi usijali
6. au nina uwezo wa fedha unamwabia acha nioe mke mwingine ila ww ndiye mama
mkubwa na ndio una mamlaka yote.... au, au, au....... UONGO KIBAO, tamaa tu unaficha.
7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi

Nimemaliza, assist me plse, mm jibu namba 7 ambalo halisemwi ndio sahihi kwangu,
period...

Hongera kwa kuweka mawazo yako hapa ili upewe majibu.
Maana ya ndoa sijui kama unaifaham?
2-Zinaa ni tendo linalofanywa nje ya utaratibu .
Mfano imani ya islam...uzinifu ni tendo la (jimai) sex intercourse me/ke kutenda bila kuoana. Pia kuna kuikurubia hiyo zinaa. Kama kumshika me/ke ambae anaruhusiwa kukuoa/kuolewa. Pia kutazama sehem ambazo zitakupa vshawishi. Kimafunzo hilo lipo kimaadili zaidi na lina hikma zake. Ujue usilopenda kufanyiwa ww usiwafanyie wenzio...hata ukijipa moyo lile utakalo ww ukaona sawa..ukawa hujali hata likifanywa na mwingine. Bado mafundisho itasimamia uhalisi wake.
3- Ndoa za zaid ya mke 1 hutekelezwa na waislam. Pia hata kimila baadhi ya kabila wanatekeleza hayo. Zipo faida zake. Ni vzuri ufaham hayo yanatekelezwa kwa mujibu wa hizo imani. Ukiwa si muamin utaona ugum mkubwa. Pia wapo wataojiita ni waumin wa hizo sheria kwa bahati mbaya wasifaham nini lengo lake.
4-Imeruhusiwa mtu aoe zaidi lakini kwa masharti ya uadilifu . Aweze kujua wajibu wake kwao hao wake zake. Na mke pia ajue wajibu wake. 5- Utaweza kusema je kwanini na wanawake wasiolewe zaid ya mume mmoja?
Hilo ukilitazama kibaologia ndipo utajua magonjwa ni rahisi kupatikana. M/me anaouwezo wa ku do na wanawake wengi hata akiwarudia asiwaambukize maradhi. Tafauti na m/ke akichanganya wa/me ni rahisi kuupata au kupata maradhi. Japo ndivyo nlivyosikia wataalam. Kama yupo mjuzi zaid kwa hili lakibaiolojia atusaidie.
 
Mimi na qualify kukujibu kwa sababu nna wake wawili na nnataka kuongeza watatu.

Nimeoa Mke wa Kwanza miaka kadhaa iliyopita lakini Mwenyeezi Mungu hajatujaaalia kupata watoto na tukafanya njia zote zinazostahiki kujuwa ni nani mwenye matatizo, kwa bahati mbaya (au nzuri) ikakutikana ni mke wangu, kipenzi cha roho yangu, tuliyeanza nae maisha ndie mwenye matatizo yaliyoshindikana kutibika. Nakumbuka, ni Doctor Andrew ndie alietufanyia uchunguzi mara ya mwisho baada ya kuhangaika sana (miaka 15), yeye ndie alikuwa shupavu na kusema kuwa, "mama, wewe ndie mwenye matatizo", una fibroids za muda mrefu ambazo zimezuwia njia za uzazi na dawa ni kuzitowa la sivyo zinaweza kuleta matatizo zaidi ya kiafya, na katika kutowa kwake, jinsi zilivyokaa, tutajitahidi lakini kuna uwezekano mkubwa kuwa hutoweza kubeba mimba tena. Tukajishauri na tukaamuwa kuyatoa hayo ma-fibrosis.

Baada ya hapo, na miaka mitatu baadae, tukashauriana sana na kipenzi mke wangu naye akaniambia, "mume wangu naomba kaoe kwa sharti moja tu". Ukipata mtoto unipe mimi nimlee.

Baada ya hapo ikanichukuwa tena miaka miwili kabla sijaoa mke wa pili. Nikaoa na Mwenyeezi mungu akatujaalia kupata mtoto wa kwanza, kama tulivyokubaliana, nikampa Mke wangu wa Kwanza amlee, na mpaka sasa tuna watoto wanne na huyu mke wa pili, na watoto wote wanalelewa jointly. Mpaka inafikia hawajui mama yao mzazi ni nani.

Mwenyeezi Mungu katujaalia hivyo, baada ya muda kupita, na kushauriana sana na wake zangu, tumekubaliana, ikibidi niowe mke wa tatu wao wako tayari kwa hilo. Kwa sababu zisizo zuilika kwa sasa.

Inabidi niyaweke haya wazi uelewe kuwa, kila aongezae mke ana sababu zake na si vizuri kuzitangaza.

Kuoa kihalali zaidi ya mke mmoja si zinaa. Zinaa ni kwenda kinyume na kuingiliana na mke/mume wa mtu ambae hamjaoana.

Jee, bora uongeze mke wa halali au ufanye zinaa? Kama Daktari wetu maarufu wa kanoni?

Na hao unaowaongeza wakiona huwatoshelezi kimapenzi, wafanye nini? Nao wataenda kwa daktari awashauri au wataamua wafanye nini?
 
Hongera kwa kuweka mawazo yako hapa ili upewe majibu.
Maana ya ndoa sijui kama unaifaham?
2-Zinaa ni tendo linalofanywa nje ya utaratibu .
Mfano imani ya islam...uzinifu ni tendo la (jimai) sex intercourse me/ke kutenda bila kuoana. Pia kuna kuikurubia hiyo zinaa. Kama kumshika me/ke ambae anaruhusiwa kukuoa/kuolewa. Pia kutazama sehem ambazo zitakupa vshawishi. Kimafunzo hilo lipo kimaadili zaidi na lina hikma zake. Ujue usilopenda kufanyiwa ww usiwafanyie wenzio...hata ukijipa moyo lile utakalo ww ukaona sawa..ukawa hujali hata likifanywa na mwingine. Bado mafundisho itasimamia uhalisi wake.
3- Ndoa za zaid ya mke 1 hutekelezwa na waislam. Pia hata kimila baadhi ya kabila wanatekeleza hayo. Zipo faida zake. Ni vzuri ufaham hayo yanatekelezwa kwa mujibu wa hizo imani. Ukiwa si muamin utaona ugum mkubwa. Pia wapo wataojiita ni waumin wa hizo sheria kwa bahati mbaya wasifaham nini lengo lake.
4-Imeruhusiwa mtu aoe zaidi lakini kwa masharti ya uadilifu . Aweze kujua wajibu wake kwao hao wake zake. Na mke pia ajue wajibu wake. 5- Utaweza kusema je kwanini na wanawake wasiolewe zaid ya mume mmoja?
Hilo ukilitazama kibaologia ndipo utajua magonjwa ni rahisi kupatikana. M/me anaouwezo wa ku do na wanawake wengi hata akiwarudia asiwaambukize maradhi. Tafauti na m/ke akichanganya wa/me ni rahisi kuupata au kupata maradhi. Japo ndivyo nlivyosikia wataalam. Kama yupo mjuzi zaid kwa hili lakibaiolojia atusaidie.

Hizo sababu za kibailojia zinazomruhusu/mfanya mwanamume aoe/awe na mke zaidi ya mmoja na mwanamke awe na mume mmoja tu ni zipi?
 
Huwa sipatagi jibu, hivi ukisha oa mke wa kwanza, then unataka kuoa mke wa pili, tatu
4...... unamwambiaje mkeo uliyenaye? na mke wa kwanza si atakataa tu au wanalazimishwaga nini, maskini, mapenzi haya, utumwa kibao

1. kwamba naoa ili uwe na familia kubwa? na una discuss naye
2. naoa mke wa tatu, nne ili mfanye kazi pamoja ambayo najua haiwezekani
3. au mwanaume anamwmabia naoa ili nisitoke nje ya ndoa
4. Au dini inaruhusu, bila kujali mawazo ya mkeo uliyenaye
5. au nimemwona mwanamke mzuri heri nioe tu, ila bado nakupenda mpenzi usijali
6. au nina uwezo wa fedha unamwabia acha nioe mke mwingine ila ww ndiye mama
mkubwa na ndio una mamlaka yote.... au, au, au....... UONGO KIBAO, tamaa tu unaficha.
7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi

Nimemaliza, assist me plse, mm jibu namba 7 ambalo halisemwi ndio sahihi kwangu,
period...

Kuoa wake wengi:
1. Kuwa na manpower ya kutosha - kama mume ana mashamba au miradi inayohitaji nguvu kubwa
2. Ufusika! Full stop!
 
Na hao unaowaongeza wakiona huwatoshelezi kimapenzi, wafanye nini? Nao wataenda kwa daktari awashauri au wataamua wafanye nini?

Wakiona hawatoshelezeki kimapenzi wana haki ya kuniacha, huo ndio uIslam, sijui kwa dini zingine kama mwanamke hatoshelezwi kimapenzi na mumewe anaweza kumwacha?
 
Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanaburuzwa tu na hawana jinsi nyingine ya kufanya wanaamua kukubali na kuugulia moyoni.
Ila wale wanaofunga ndoa sijui huwa hawasomi vyeti vyao kabla ya ku saini, kuna sehemu imeandikwa ndoa ya mke mmoja/wake wengi na kila mmoja wenu anadelete sehemu moja. sasa akina mama komaeni hapo kwenye hicho kipengere sio una saini tu ili uolewe, kwani ´uki delete mke mmoja jamaa akioa tena ana kuwa yuko sawa! Kwa bahati mbaya sana kipengere hiki kinaruhusu mume kuoa mke/wake wengine not the otherway round!
 
Ukewenza sifa kwa mijanaume mehu,msiba kwa wanawake walio ndani yake.
 
Labda hujasoma vizuri, ndoa ya tatu bado, ndio naitafuta.

Ningekuwa mimi ndio sina uwezo wa kuzaa, basi mwanamke angeniacha ni RUKSA kiIslam mwanamke kukuacha (soma post # 18).

Maswali mengine muulize Slaa, kwani nadhani kidini yake yeye anafanya "7. AU NI ZINAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA....tu mwanaume hataki kuwa wazi".

umesema SLAAAAAAAAAAA....????? ww utapata kipigo kutoka kwangu sasa hivi, stop that, au una DADA yako anatafuta mume
umpelekee Dr, hapa tunasema kuoa zaidi ya moja na mke wa kwanza aridhie, stop mixing issues
 
Wakiona hawatoshelezeki kimapenzi wana haki ya kuniacha, huo ndio uIslam, sijui kwa dini zingine kama mwanamke hatoshelezwi kimapenzi na mumewe anaweza kumwacha?

Zamu siku ngapi ngapi?
 
Hongera kwa kuweka mawazo yako hapa ili upewe majibu.
Maana ya ndoa sijui kama unaifaham?
2-Zinaa ni tendo linalofanywa nje ya utaratibu .
Mfano imani ya islam...uzinifu ni tendo la (jimai) sex intercourse me/ke kutenda bila kuoana. Pia kuna kuikurubia hiyo zinaa. Kama kumshika me/ke ambae anaruhusiwa kukuoa/kuolewa. Pia kutazama sehem ambazo zitakupa vshawishi. Kimafunzo hilo lipo kimaadili zaidi na lina hikma zake. Ujue usilopenda kufanyiwa ww usiwafanyie wenzio...hata ukijipa moyo lile utakalo ww ukaona sawa..ukawa hujali hata likifanywa na mwingine. Bado mafundisho itasimamia uhalisi wake.
3- Ndoa za zaid ya mke 1 hutekelezwa na waislam. Pia hata kimila baadhi ya kabila wanatekeleza hayo. Zipo faida zake. Ni vzuri ufaham hayo yanatekelezwa kwa mujibu wa hizo imani. Ukiwa si muamin utaona ugum mkubwa. Pia wapo wataojiita ni waumin wa hizo sheria kwa bahati mbaya wasifaham nini lengo lake.
4-Imeruhusiwa mtu aoe zaidi lakini kwa masharti ya uadilifu . Aweze kujua wajibu wake kwao hao wake zake. Na mke pia ajue wajibu wake. 5- Utaweza kusema je kwanini na wanawake wasiolewe zaid ya mume mmoja?
Hilo ukilitazama kibaologia ndipo utajua magonjwa ni rahisi kupatikana. M/me anaouwezo wa ku do na wanawake wengi hata akiwarudia asiwaambukize maradhi. Tafauti na m/ke akichanganya wa/me ni rahisi kuupata au kupata maradhi. Japo ndivyo nlivyosikia wataalam. Kama yupo mjuzi zaid kwa hili lakibaiolojia atusaidie.

maelezo mengi, in short mbona hao wanawake mnao wao wanakuwa kama Chui na Kondoo, maadui wa kuuana, na ushahidi mwingi,
tena wana gombana hata kutaka kutoana roho, Ndoa nyingi na ushahidi upo, so unaona mke wa kwanza hamjakubaliana,
 
Kuoa wake wengi:
1. Kuwa na manpower ya kutosha - kama mume ana mashamba au miradi inayohitaji nguvu kubwa
2. Ufusika! Full stop!

:A S 41::A S 41::A S 41::clap2::clap2::clap2::clap2::A S thumbs_up:
 
Mimi na qualify kukujibu kwa sababu nna wake wawili na nnataka kuongeza watatu.

Nimeoa Mke wa Kwanza miaka kadhaa iliyopita lakini Mwenyeezi Mungu hajatujaaalia kupata watoto na tukafanya njia zote zinazostahiki kujuwa ni nani mwenye matatizo, kwa bahati mbaya (au nzuri) ikakutikana ni mke wangu, kipenzi cha roho yangu, tuliyeanza nae maisha ndie mwenye matatizo yaliyoshindikana kutibika. Nakumbuka, ni Doctor Andrew ndie alietufanyia uchunguzi mara ya mwisho baada ya kuhangaika sana (miaka 15), yeye ndie alikuwa shupavu na kusema kuwa, "mama, wewe ndie mwenye matatizo", una fibroids za muda mrefu ambazo zimezuwia njia za uzazi na dawa ni kuzitowa la sivyo zinaweza kuleta matatizo zaidi ya kiafya, na katika kutowa kwake, jinsi zilivyokaa, tutajitahidi lakini kuna uwezekano mkubwa kuwa hutoweza kubeba mimba tena. Tukajishauri na tukaamuwa kuyatoa hayo ma-fibrosis.

Baada ya hapo, na miaka mitatu baadae, tukashauriana sana na kipenzi mke wangu naye akaniambia, "mume wangu naomba kaoe kwa sharti moja tu". Ukipata mtoto unipe mimi nimlee.

Baada ya hapo ikanichukuwa tena miaka miwili kabla sijaoa mke wa pili. Nikaoa na Mwenyeezi mungu akatujaalia kupata mtoto wa kwanza, kama tulivyokubaliana, nikampa Mke wangu wa Kwanza amlee, na mpaka sasa tuna watoto wanne na huyu mke wa pili, na watoto wote wanalelewa jointly. Mpaka inafikia hawajui mama yao mzazi ni nani.

Mwenyeezi Mungu katujaalia hivyo, baada ya muda kupita, na kushauriana sana na wake zangu, tumekubaliana, ikibidi niowe mke wa tatu wao wako tayari kwa hilo. Kwa sababu zisizo zuilika kwa sasa.

Inabidi niyaweke haya wazi uelewe kuwa, kila aongezae mke ana sababu zake na si vizuri kuzitangaza.

Kuoa kihalali zaidi ya mke mmoja si zinaa. Zinaa ni kwenda kinyume na kuingiliana na mke/mume wa mtu ambae hamjaoana.

Jee, bora uongeze mke wa halali au ufanye zinaa? Kama Daktari wetu maarufu wa kanoni?


Tatizo ni kwamba huyu wa tatu unayetaka kuongeza sababu zake nadhani ni za kimatamanio zaidi....maana kama ule msukumo wa kuoa wa pili ilikuwa ni watoto, na watoto mshapata,haya huyu wa tatu ni wa nini au yale mambo yetu ya mathna,thulatha wa rubaa?
 
Back
Top Bottom