Naombeni mnijibu kama tutawajoin wenzetu wa arusha kwenda tanga nataka kupanga mambo yangu mapema na baby wangu tafadhali,au mnataka niachike tena?
Acheni hizo kama hamtaki semeni
na Rejao na @Ritz mkimaliza kikao mje na huku jameni sio kila siku siasa tu
je tunaruhusiwa kuja na watoto wetu ilimradi tu msiwatongoze, maana baadhi ya wanaume humu jf hawashikiki wakiona k imekatiza.
Madame B, vacation yangu inaisha tarehe 24 Dec, ambapo natatakiwa niwe niripoti kibaruani. hivo kwangu hiii ni ngumu na sio kuwa naogopa.
mimi bana nikihakikishiwa kuwa ndom za kutosha zitakuwepo (i need at least a carton) nitakuja,short of that hamtoniona.
je tunaruhusiwa kuja na watoto wetu ilimradi tu msiwatongoze, maana baadhi ya wanaume humu jf hawashikiki wakiona k imekatiza.
Hata nami ningependa tukutane ila nawaogopa watu wa usalama kuhatarisha maisha yetu. Kwani tutakutana kwa mema ila kuna wengine watakuja ili kuchukua habari nani ni nani ili kuwatonya mafirauni wa usalama, matokeo yake unatoka nje unamwagiwa tindikali na kuachana na JF moja kwa moja.