Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Kama huendi na mm nitashindwa kwenda
Wewe tena si unajua pale tunakutana on the way to TA?
Kama huendi na mm nitashindwa kwenda
ndio. miatuwe sirias bwana .unaenda?
Oyaaaa! Tuache wazaramo tupange mipango mkakati wa kwenda ngomani.Hahahahahahah wazee wa maneno mengiiii vitendo hola...nadhan wengi ni wazaramo
Wewe tena si unajua pale tunakutana on the way to TA?
Afu mpwa pale pa ukwee tunakutana lini? Mi nimemmisi Eliza ujue.Sie tunaanzia chuda siku 2 kabla
tuwe sirias bwana .unaenda?
Smile watu wa Dar ambao tunaenda Tanga tumeshajioganaizi.
Tumepatikana 6 tu.
Na hiyo safari ipo labda wewe tu ndo hukupiemiwa.
Ok ok Ngoja nije Pm.
Hivi wa Dar mtaanza lini mchakato wenyewe? Kwani si kuna haja ya kukutana liiive before safari mpange mipango yenu?
Smile watu wa Dar ambao tunaenda Tanga tumeshajioganaizi.
Tumepatikana 6 tu.
Na hiyo safari ipo labda wewe tu ndo hukupiemiwa.
Ok ok Ngoja nije Pm.
chardams, sikia kuondoka ni ijumaa tarehe 28 desemba na kurudi ni Jumapili tar 30 desemba.Tatizo hizo tarehe ni mbana kwetu sisi. I really wanted to go lakini sitoweza kwani terehe 24 natakiwa kurudi kibaruani
Sie tunaanzia chuda siku 2 kabla
je tunaruhusiwa kuja na watoto wetu ilimradi tu msiwatongoze, maana baadhi ya wanaume humu jf hawashikiki wakiona k imekatiza.
Hahahaha St. Paka Mweusi mwenzio keshazoea vikao vya chama lol.Nilishasema tangu zamani,tatizo kubwa la members wa Dar ni njaa kali,ona mmoja hapo juu anaulizia posho.Ushaona wapi mtu unaenda kupumzisha akili ulipwe posho...Kwa hisani ya watu wa Arusha..