kaka yangu kafumaniwa live ana kiss na mume wamtu
mimi na lala lakini kaka yangu kafumaniwa live ana kiss na mume wamtu naomba ushauri wenu na picha anazo kama ushahidi na hata usiku akilala anamtaja jila lake zaid ya mara tatu
unajua nimekutafuta sana wewe binti.. Yaani nimekupenda gafla...sijui umenipa nini..bila wewe haki ya nani nitakufa! Naomba basi unipe japo nafasi niseme lililoko moyoni mwangu..
mkuu siyo demu huyu!ana hulka tu za kike tena amezianza humu jamvini!kuna mwanangu anamjua kimtaani yupo katika mchakato anataka kummega!hadi sasa hivi nashindwa kuelewa kwanini ana swagga hizi wakati mtaani ni kijana mtaratibu kama mwanaume rijali kumbe dah!
mimi na lala lakini kaka yangu kafumaniwa live ana kiss na mume wamtu naomba ushauri wenu na picha anazo kama ushahidi na hata usiku akilala anamtaja jila lake zaid ya mara tatu
Mimi ninakusamehe bure kwani ulipoandika ulikuwa unalala, vyenginevyo utanifanya niamini kuwa huyo kaka yako ni bwabwa.kaka yangu kafumaniwa live ana kiss na mume wamtu