Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Bashiru na Polepole walikula rushwa sana za wagombea ubunge wa CCM ili wawapitishe , mpaka rushwa za ngono za skina Paulina Gekul .
Screenshot_20210502-144024.png
 
Lakini tunajua fika kuwa huyu bwana HAJI JUMAA ni Zungu la UNGA sasa tunategemea atawasemeaje hawa wajamaa wawili waliotuongoza?
 
Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.

CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.

Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.

Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.

Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.

Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.

Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.

Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?

Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
CCM mlitegemea nini toka kwa mtu aliyekuwa akiwachambua kwa kuipendelea CUF wazi wazi? Mlidhani tonge litamfanya abadilike? Japo anaitwa mjamaa, Bashiru ni mchumia tumbo wa kawaida sawa na wale wote waliotelekeza taaluma zao na kujiingiza kwenye utapeli uitwao siasa.
 
Kunawatu walishinda lakini kwa nguvu ya 'kitu kidogo' hao nao vipi wangepitishwa tu? kisa wameshinda?
 
Bashiru alizuia upigaji ndani ya chama na hata kurudisha Mali za ccm ambazo ziliporwa na wachache ndani ya muda mfupi


Mali za trilio. Mmm


Acha achukiwr tu
 
Itakuwa vizuri sana kwa walaji wa habari tulio nje ya ccm ili kuyajua madhaifu ya Dr Bashiru
Aalimkata mwana mama aliyeongoza kura za maoni jimbo la babati mini, akaiweka small house yake na zaidi ikapata teuzi fulani na kutembelea vieitteee. Bashiru mtu mbaya sana.
 
Tunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.
kwahiyo leo kada aneongea unafiki au ya moyoni kwake!!!
unajua sisi wengine huwa tunawaambia acheni uzuzu.nyinyi ni watu rahisi sana kuhadaika.

nyarandu aliopokuja kwenu 2017 akionekana mkataa udhalimu,leo kaondoka kwenu mnamwita msaliti.

mnafanya siasa za vidudu,wapinzani wenu wanafanya za chup kikuu.
 
Alimkata Mhe. a. Chenge, Kangi Lugola, Chegeni na wengine wengi licha ya kuongoza kura za maoni.
 
Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.

CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.

Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.

Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.

Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.

Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.

Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.

Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?

Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052

Wengi wao wana hasira na chuki zisizokuwa na mashiko yoyote. Ni kwa sababu tu uhakiki wa mali za Chama aliousimamia Bashiru uliishia kwa hao vigogo wa Chama kunyang’anywa mali za Chama, ambazo walikuwa wamejimilikisha bila uhalali wowote!
 
Alimkata Mhe. a. Chenge, Kangi Lugola, Chegeni na wengine wengi licha ya kuongoza kura za maoni.
Bila huruma aliwakata wagombea ubunge Jimbo la shinyanga mjini wakiongozwa na Masele mwenye kura karibia 300 halafu akapewa nafasi mtu wa mwisho mwenye kura 7 (Patrobas Katambi).

CCM hoyeee! Lkn asilaumiwe Dk Bashiru bali mwendazake.
 
Wengi wao wana hasira na chuki zisizokuwa na mashiko yoyote. Ni kwa sababu tu uhakiki wa mali za Chama aliousimamia Bashiru uliishia kwa hao vigogo wa Chama kunyang’anywa mali za Chama, ambazo walikuwa wamejimilikisha bila uhalali wowote!
Kwani ccm hizo mali walimilikishwa nani mara baada ya nchi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Unapata wapi ujasili wa kuziita mali za watamzania kuwa ni mali za ccm?
 
MROPOKAJI HAFAI KUWA KIONGOZI.
KWA MAADILI YA AJIRA MOJA YA SIFA YA KUTOPATA AJIRA KWENYE TAASISI MPYA NI KIITUHUMU VIBAYA TAASISI YAKO YA AWALI.
SO, KWA MWAKA 2020 WATU WOTE WALIOPITISHWA NI WALE AMBAO WANANCHI WANAWATAKA SIYO WALIONUNUA KURA.

DR. BASHIRU NDIYE KATIBU PEKEE AMBAYE AMEIFANIKISHA CCM KUSHINDA ZAIDI YA ASILIMIA 99 BARA.
KWA UJUMLA BILA BASHIRU CCM SIJUI LAKINI NINA UHAKIKA KUNA KITU BASHIRU AMEWAFUNDISHA. MNATAKIWA KUWEKEZA KWA WANANCHI SIYO KWENYE MATUMBO YENU.
VILEVILE WEKEZA KWENYE UTENDAJI WA MTU SIYO KI UKANDA.
Nb. R.I.P DR JPM,
Nawe unaamini ule ulikuwa ni ushindi ?!. Jamani
 
kwahiyo leo kada aneongea unafiki au ya moyoni kwake!!!
unajua sisi wengine huwa tunawaambia acheni uzuzu.nyinyi ni watu rahisi sana kuhadaika.

nyarandu aliopokuja kwenu 2017 akionekana mkataa udhalimu,leo kaondoka kwenu mnamwita msaliti.

mnafanya siasa za vidudu,wapinzani wenu wanafanya za chup kikuu.

Umeelewa hata nilichosema ama umekuja na matamanio yako? Tafuta popote nilipowahi kumsifia Nyalandu akiwa Ccm, na alivyokuja cdm, na sasa karudi ccm. Pitia nyuzi zangu wakati Nyalandu alipokuwa anaomba nafasi kugombea urais kupitia cdm kama niliwahi kumuunga mkono, zaidi ya kusema ni mchafu aliyekosana na Magufuli huko ccm. Sasa leo nitasemaje ni msaliti wakati hata uwepo wake cdm nilikuwa siuafiki? Kwangu mimi kurudi ccm kwa Nyalandu ni kuvuja kwa pakacha. Jitahidi unaponiquote usinijie na maoni ya bendera fuata upepo.
 
Back
Top Bottom