Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,925
95,201
Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.

CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.

Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokiamini na kulinda maslahi yake binafsi na ya aliyemchagua.

Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.

Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.

Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.

Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.

Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?

Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.

Screenshot_20210502-131755.jpg
 
Mwaga nyongo mzee kwani ikakaandani ni kama sumu rudia vizuri ukikazia zaidi unamwachia nani hayo mengine.
Alafu usisahau kuchomekea c mbaya kwani hata Nyerere baba wa taifa aliwai kuwaelezea hao watani zake kuwa.. fafanua tu yote.
Wakifunguka siri za ndani ndiyo afya ya walaji wa habari.
 
SEMENI TUUU KWAMBA NYIE MAKANJANJA YA HAPO UFIPANI NDO MNAHANGAIKA BILA KULALA MKIDHANI CHAMA DUME CCM KITABABAIKAA. MNATUNGA PROPAGANDA WENYEWEE HALAFU MNAJIPOST WENYEWEE. MTAPATA TAABU SAAANAA.
MATAGA wewe ukiamka hufatilii habari toka vyanzo vingine ni JF tu? Hii habari mbona ipo kote hata Darmpya wameripoti kwa kumnukuu muhusika! Na huyo katangulizwa tu, wanakuja wengi sana sana kueleza UNYAMA wa JIWE, Polepole na Bashiru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom