MROPOKAJI HAFAI KUWA KIONGOZI.Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.
CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.
Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.
Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.
Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.
Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.
Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.
Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?
Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
KWA MAADILI YA AJIRA MOJA YA SIFA YA KUTOPATA AJIRA KWENYE TAASISI MPYA NI KIITUHUMU VIBAYA TAASISI YAKO YA AWALI.
SO, KWA MWAKA 2020 WATU WOTE WALIOPITISHWA NI WALE AMBAO WANANCHI WANAWATAKA SIYO WALIONUNUA KURA.
DR. BASHIRU NDIYE KATIBU PEKEE AMBAYE AMEIFANIKISHA CCM KUSHINDA ZAIDI YA ASILIMIA 99 BARA.
KWA UJUMLA BILA BASHIRU CCM SIJUI LAKINI NINA UHAKIKA KUNA KITU BASHIRU AMEWAFUNDISHA. MNATAKIWA KUWEKEZA KWA WANANCHI SIYO KWENYE MATUMBO YENU.
VILEVILE WEKEZA KWENYE UTENDAJI WA MTU SIYO KI UKANDA.
Nb. R.I.P DR JPM,