Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,747
- 998
Hatuna wajumbe wahivyoo. Wajumbe tulikuwa nao mkutano mkuuu sio haoKwahiyo we umeamua kumkataa mjumbe wenu wa Nec. Au ndio umetoka usingizini hujui kinachoendelea?
Hatuna wajumbe wahivyoo. Wajumbe tulikuwa nao mkutano mkuuu sio haoKwahiyo we umeamua kumkataa mjumbe wenu wa Nec. Au ndio umetoka usingizini hujui kinachoendelea?
Ukweli wanaouongea sasa, ungekuwa na impact sana nyakati zile. Kwasasa tunawaona wanafki tu.
Wacha wabaguane
Why Katibu tu not na Mwenyekiti? Maana lao lilikua moja. Amtaje na Mwenyekiti pia kuwa alikua part and parcel ya hayo madudu. Aache unafiki
Tunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.
Funguka mwanawane ....! Halafu kuna mapimbi yanasema ccm ni moja... Ni moja ipi my foot!Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.
CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.
Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.
Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.
Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.
Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.
Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.
Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?
Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
naunga mkono hoja ,yule mbwa natamani afe kila sikuTunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.
Kama ni ukweli basi Dk. Bashiru ana nguvu sana Bungeni.ukweli ukweli kabisa
Chadema bana nyie kweli ni super Nyumbu , sasa upinzani wenu ni dhidi ya Hayati, Bashiru au CCM!???
Maana ni kama mnashabikia mabadiliko ndani ya CCM pasipokujijua na kuanzisha nyuzi nyingi kuwaponda kina Bashiru, Hayati, Makonda nk
Ndio maana Lowassa aliwaambia hiki chama kama kina nia ya kushika dola inabidi kibadilike kutoka ktk siasa za uanaharakati
Kama hajipend ajarib, wazee wa ligas tutampopoa mpaka maji ayaite mayiWhy Katibu tu not na Mwenyekiti? Maana lao lilikua moja. Amtaje na Mwenyekiti pia kuwa alikua part and parcel ya hayo madudu. Aache unafiki
Shetani mana yake Nini. Who are you. Embu Tuambie kidogo kuhusu wewe tukupime. Mana unaongea kuhusu marehemu na Ndo Hapo tunaanza kujua wewe ndo the Devil Original. Ila tusaidie kidogo ili tukujue Kama Ni 97 au 99 % ya ushetani wako.
Ilikuwaje akapanda kuwa KMK?Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.
CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.
Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.
Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.
Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.
Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.
Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.
Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?
Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
Siku hizi umekomaa na Mambo ya CCM!Aliteuliwa na jiwe ambaye alikuwa anaelewana naye tabia
Wote.. Halafu wanaogopa uchaguzi balaaHivi ni Bashiru aliyefanya hivyo au JPM?