Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Wana CCM wamtolea uvivu Dkt. Bashiru

Ukweli wanaouongea sasa, ungekuwa na impact sana nyakati zile. Kwasasa tunawaona wanafki tu.

Nakubaliana na wewe ila mkuu waungwana si walisema - heri ya nusu shari lakini?

Hivi kwani hata kama SSH angeamua kumkomalia Jiwe hata na manyanga akabwaga bado ingesaidia nini?

Wacha wahanga wa awamu ile wa ndani na nje wafunguke mwanakwetu, awamu ile ya dhuluma mbona haipo tena?

Hiiiiii bagosha!
 
Tunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.

Shetani mana yake Nini. Who are you. Embu Tuambie kidogo kuhusu wewe tukupime. Mana unaongea kuhusu marehemu na Ndo Hapo tunaanza kujua wewe ndo the Devil Original. Ila tusaidie kidogo ili tukujue Kama Ni 97 au 99 % ya ushetani wako.
 
Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.

CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.

Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.

Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.

Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.

Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.

Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.

Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?

Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
Funguka mwanawane ....! Halafu kuna mapimbi yanasema ccm ni moja... Ni moja ipi my foot!
 
Tunaposema kuwa Magu alikuwa dhalimu kuna watu walikuwa wanabisha. Aliyoyafanya Magu kwenye demokrasia ya nchi hii ni ushenzi wa hali ya juu. Watu wako kimya lakini yule mtu alikuwa ni shetani mkubwa.
naunga mkono hoja ,yule mbwa natamani afe kila siku
 
Chadema bana nyie kweli ni super Nyumbu , sasa upinzani wenu ni dhidi ya Hayati, Bashiru au CCM!???

Maana ni kama mnashabikia mabadiliko ndani ya CCM pasipokujijua na kuanzisha nyuzi nyingi kuwaponda kina Bashiru, Hayati, Makonda nk

Ndio maana Lowassa aliwaambia hiki chama kama kina nia ya kushika dola inabidi kibadilike kutoka ktk siasa za uanaharakati

Utakuwa ww ni bonge la duwanzi fulani, huku ni mitandaoni na sio ofisi ya cdm. Hapa mwanasiasa yoyote na chama chochote kinajadiliwa kwa lolote na vyovyote. Naona umeokota maneno ya lile jizee tapeli la siasa ndio unakuja kutujazia server hapa. Kama usipokuwa mwanaharakati ndio unachukua dola, mbona yeye hakuchukua, au na yeye alikuwa mwanaharakati.
 
Shetani mana yake Nini. Who are you. Embu Tuambie kidogo kuhusu wewe tukupime. Mana unaongea kuhusu marehemu na Ndo Hapo tunaanza kujua wewe ndo the Devil Original. Ila tusaidie kidogo ili tukujue Kama Ni 97 au 99 % ya ushetani wako.

Alikuwa shetani na dhalimu mkubwa, hutaki meza sumu.
 
Kitendo cha kukata jina la Mtemi Chenge, aka Hola la makengeza na Ngereja kiliniuma Sana! Au nasema uongo?
 
Mjumbe wa NEC mkoa wa Pwani, Haji Juma anasema machache juu ya madhaifu ya Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu CCM.

CCM ilikuwa kama nyumba ya udongo iliyopigwa ripu na rangi kwa nje lakini ndani ilikuwa bado ya udongo.

Alibadilika alipo pata madaraka na kuacha alichokuamini na kulinda maslahi yake binafsi na aliyemchagua.

Dkt. Bashiru alianza kukidhoofisha chama chetu ndani na kujenga makundi yenye hatari ya ukanda.

Katika uongozi wake vikao vya CCM vilitumika kama rubber stamp tu.

Katika uchaguzi uliopita wagombea wengi walioshinda uchaguzi wa ndani ya CCM walikatwa kwa wingi kuliko wakati wowote tangu CCM ianzishwe.

Robo ya wabunge wote waliopo bungeni hawakushinda chaguzi za ndani ya CCM.

Sasa huo utakatifu wa Dkt. Bashiru unatoka wapi?

Nina mengi sana ya kusema juu ya Dkt. Bashiru.View attachment 1771052
Ilikuwaje akapanda kuwa KMK?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ungelikuwa unafanya analysis jadidi ungelijua kuwa hao Wasukuma bado wako kibao na hawaondoki leo wala kesho!
Kawaida ukitaka kuukata mti mkubwa unaanza kukata tawi moja moja na tumeshaanza kuwang'oa mtakwisha tu
 
Back
Top Bottom