Natamani uchaguzi mkuu ungekuwa mwezi Julai kwani CDM tungekuwa tumemaliza Kampeni wakati Mazezeta wa CCM wanaoneana aibu kusafishana kule Dodoma
Na bado m4c ikiamia pwani mzee mkubwa wa magogoni nae atarudisha kadi
Huyu ha2mtaki,Fisadi mkubwa huyo
Freedom is coming tomorrow
Akihutubia Dr. Slaa na kuwashangaa wabunge wa CCM kwa unafiki wao hasa wanapopiga kelele lakini amesema waliotia saini kwa ZITTO ni 7 tu.
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
Kiukweli CCM hawana chao tena hapa nchini kuanzia 2015 kwa aliyeona ile habari awe shahidi mwema.
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU
natangaza nia same magharibi naomba ushauri,,,,,,,,,,,tuvamwe,,,,,,,,:spy:
Bravo Chadema, ndo mkombozi wetu. Magamba yatavuka mwaka, Sipati picha, Pale Waziri mkuu atakapovuliwa gamba. Big up. Mungu yuko upande wetu. Peopleeeeeeeeeeees Power!!!!!
Akihutubia Dr. Slaa na kuwashangaa wabunge wa CCM kwa unafiki wao hasa wanapopiga kelele lakini amesema waliotia saini kwa ZITTO ni 7 tu.
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
Kiukweli CCM hawana chao tena hapa nchini kuanzia 2015 kwa aliyeona ile habari awe shahidi mwema.
SOURCE: ITV HABARI USIKU Tarehe 22.04.2012
mbona hakuna hata picha,kwanini?
Mbona nasikia Dr. Slaa amevunja uongozi wa CDM huko Sengerema/Geita baada ya kushindwa kuwanyakuwa wanachama wa CCM?