Wana CCM 3,500 wahamia CHADEMA huko Sengerema

Wana CCM 3,500 wahamia CHADEMA huko Sengerema

Hao walikuwa wamepewa wiki moja tu ya kulipa madeni yao au kufukuzwa ndani ya chama kwa7bu ya kutolipia kadi za uwanachama kwa miaka 6 kwa hivyo wametupunguzia mzigo.

source: Nape, Dodoma.
mwehu mwingine aliyebaki usingizini
 
yaani nimepata raha sana jana kuona mabibi na mabwana wanatupa kanga na vitambaa vya njano jukwaa kuu..teh teh teh teh magamba kazi mnayo..
 
Mbona nasikia Dr. Slaa amevunja uongozi wa CDM huko Sengerema/Geita baada ya kushindwa kuwanyakuwa wanachama wa CCM?


Na wewe unaleta habari za gazeti la KONGWE LA CHAMA CHA MAJAMABZI(UHURU) hapa JF! nani bado anasoma habari hizo? nadhani unasoma wewe na PJ wa KONGWE LA CHAMA CHA MAJAMBAZI!

Na wewe hamia chadema haraka safina ikifungwa usijekulaumu wakati kila siku unachezacheza karibu na lango la safina halafu hutaki kuingia unafikiri wewe ni mwenyeji Konda anakujua!
 
Hiyo ya nape ni kali!wengine wakijiunga na cdm atadai walipewa onyo kwa kutohudhuria kwenye vikao.huyo ndo nape aka mropokaji
 
Kuna mtu anadai watu 3500 kidogo namshangaa sana
hujui kama hao 3500 ni kisehemu tu? wala si Sengerema nzima? huon kama kwa hapo kama ccm walikuwa 3700 wamebaki 200?
 
Ccm ni zaidi ya taasisi hata wahame wanachama wote bado itasimama imara na kuongoza

unajidanganya kama Mwenyekiti wako?
Mwaka huu ni wenu... tuko Dodoma kikazi zaidi ... Lazima wagogo waelewe somo .. CDM tunaomba kadi za kutosha Dodoma...
Mambo huku yameanza kuwa Mswanu sana...
hata ukitembeza kibakuli siku hizi hupati hata shilingi maisha magumu....
Dodoma ni Malango ya Tanzania tumeanza kuchungulia nnje hakuna jinsi ambavyo mtaweza kuzuia Mabadiliko...
Mnakuja kutuulia tu watoto wetu kwa Ukimwi na Pesa zetu wenyewe....
 
hizo 3500 zinz uwezo wa kuwaondoa madarakani nyau weeeeeeeeee... yani nilifikiri viongozi wa CCM tu ndo wana mawazo mgando kumbe na wanachama wake....
Zero brain
 
Yan kuanzia leo namwaganaondoka magambani coz hii kura ya kutokua na Imani na PM imenifumbua macho kuwa wabunge wetu wa CCM ni wanafiki (wana nidhamu ya uwoga) kwa kushindwa kutenda wanachosema. Mimi na wenzangu tunamsubiri kamanda wa vita vya mageuzi nchini Dr. Slaa atakapokuja Peramiho ili tuachane na hii mikadi ya kijani iliyojaa unafiki mkubwa. Mi Nilifikri mbuge wangu J Mhagama popote alipo angekua wa kwanza kutia saini kumbe amekua akitudanganya kututetea. TUNAJIVUA GAMBA RASMI NA KUJIUNGA NA NGUVU YA UMMA
 
Back
Top Bottom