Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Inaonekana somo walilopigwa liliingia ipasavyo, maana walivyokuwa wanarusha zile T-shirt za kijani na njano, walionekana kama watu waliozichoka kikomo, na kadi zilikuwa zikirejeshwa kama zina *****. Wakati wa mabadiliko umebisha hodi ndani ya mioyo ya watu.