Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
- Thread starter
- #61
mungu ibariki nchi yetu ibariki chadema
Kwa kitambo kidogo nitawaacha mkiniita ntawajia.
Ndo kanuni za Mungu!
mungu ibariki nchi yetu ibariki chadema
Dr. Slaa anaiteketeza CCM kila kukicha..... Nasema
CCM inakufa mapema kuliko matarajio ya wengi... anakusanya watu wengi mnoooo.... Utafikiri kampeni... this is amazing.... na wanahamia CDM daily...
Ccm ni zaidi ya taasisi hata wahame wanachama wote bado itasimama imara na kuongoza
mbona hakuna hata picha,kwanini?
wamelewa madarakA mkuu, si umesikia wanaikulu wamekanusha kama kawaida yao. Unakumbuka lile sakata la posho ya wabunge alipoona nchi inawaka akasema hakuidhinisha, ina maana Spika & PM walidanganya na kumsingizia Mkuu wa Kaya, sasa mbona hawakuchukuliwa hatua kwa kumsingizia Mkuu wa Kaya.Ni hoja ila ujue kama taasisi yenu inalijua hili haihitaji kuwa juu ya sheria.
Hatima ya CCM iko mwa wana CCM wenyewe.
Upepo tu unapita dharau gani hizo?
wamelewa madarakA mkuu, si umesikia wanaikulu wamekanusha kama kawaida yao. Unakumbuka lile sakata la posho ya wabunge alipoona nchi inawaka akasema hakuidhinisha, ina maana Spika & PM walidanganya na kumsingizia Mkuu wa Kaya, sasa mbona hawakuchukuliwa hatua kwa kumsingizia Mkuu wa Kaya.
Walisema Ngeleja kaibomoa CDM Sengerema kumbe walikuwa waongo naona sasa imeongeza wanachama. CCM waangalie hali ni mbaya. Lkn ili ufalme uanguke ni lazima ufitinike ndani kwa ndani, na sasa dhambi ya wizi wa kura wanayofanyiana wao kwa wao sasa inawala
Ccm ni zaidi ya taasisi hata wahame wanachama wote bado itasimama imara na kuongoza
This comment from Nape must be a very expensive joke!!! Duh!Hao walikuwa wamepewa wiki moja tu ya kulipa madeni yao au kufukuzwa ndani ya chama kwa7bu ya kutolipia kadi za uwanachama kwa miaka 6 kwa hivyo wametupunguzia mzigo.
source: Nape, Dodoma.
Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki 2005 | ||
MANISPAA YA ARUMERU | |||||
ARUMERU MASHARIKI | |||||
Photo | Candidate | Party | Sex | Valid Votes | % |
View Photo | SOLOMON SUMARI JEREMIA | CCM | M | 58,357 | 79.6 |
No Photo | CPT ELIAHU NASARI BOB | CHADEMA | M | 12,037 | 16.4 |
No Photo | ANTHONY KIMUTO YOHANE | TLP | M | 830 | 1.1 |
No Photo | SULEIMAN MPUTTA ABDULLAZIZ | CUF | M | 790 | 1.1 |
No Photo | BETHWELL JEREMIA SIKAWA | DP | M | 667 | 0.9 |
No Photo | LAURENT KASAMBALE JOSEPHER | NLD | F | 368 | 0.5 |
No Photo | ZEPHANIA MULWISHA MULWISHA | UDP | M | 278 | 0.4 |
| | | | Valid Votes 73,327 | |
| | | | Spoilt Votes 3,037 | |
| | | | Registered Voters 102,587 | |
WILAYA YA MERU | |||
ARUMERU MASHARIKI | |||
Candidates | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
SUMARI JEREMIAH SOLOMON | CCM | 34,661 | 62.23 |
JOSHUA SAMWEL NASARI | CHADEMA | 19,123 | 34.33 |
JOHN YESAYA PALLANGYO | CUF | 265 | 0.48 |
LINDA PENIELI BANA | JAHAZI ASILIA | 176 | 0.32 |
FANUEL GABRIEL PALLANGYO | TLP | 88 | 0.16 |
CHARLES MOSES MSUYA | UPDP | 88 | 0.16 |
| | | |
SPOILT VOTES | | 1,297 | 2.33 |
TOTALS | | 55,698 | 100 |
WILAYA YA MERU | |||
ARUMERU MASHARIKI | |||
Candidates | Political Party | Number of Votes | Percentage Votes |
SIOI SUMARI | CCM | 26,757 | 44.08 |
JOSHUA SAMWEL NASSARI | CHADEMA | 32,972 | 54.32 |
AFR | 139 | 0.23 | |
DP | 77 | 0.13 | |
NRA | 35 | 0.06 | |
SAU | 22 | 0.04 | |
| UPDB | 18 | 0.03 |
TLP | 18 | 0.03 | |
SPOILT VOTES | | 661 | 1.09 |
TOTALS | | 60,699 | 100.00 |
Ccm ni zaidi ya taasisi hata wahame wanachama wote bado itasimama imara na kuongoza
CCM ni BAHARI kina wanachama zaidi ya milioni 6, kukimbiwa na wahuni 3,500 siyo kukauka kwa CCM
Ccm ni zaidi ya taasisi hata wahame wanachama wote bado itasimama imara na kuongoza