Rog3rz
Member
- Jun 21, 2012
- 44
- 26
Herufi ya mwanzo ya jina
la mpenzi wako na sifa zake A
B
C
wasumbufu na mara nyingi
wanakua watoto wa kishua D E
F
wa kawaida sana ila ni
wa siri wana mambo mengi
ila hauwezi kujua G
H I
micharuko wana ham na dunia
ila wanayajua mapenzi
utadhan walizaliwa kwa ajili hio
mara nyingi hawaachiki wao
ndio wanawaacha watu J
K
L
hapa unaweza ukabahatika
hawana matukio wala rekodi
mbaya ila tatizo lao n watu wa huruma sana hawajui kukataa
kiomba unapewa M
N
O
hawa nao kero wanajionaga
mastar sana na hawapendi kutumia majina yao ya asili mara nyingi
wanaedit name zao P
Q
R
hawa hawa sikiki sana
wakimya wataratibu ila mara nyingi hawana
mvuto wa sura au umbo S
T
U
hawa ni wachache sana dunian
ila wana kiburi kila kitu wanaona kama umewaonea wanapenda
kulipiza
kisasi akisikia kitu hata kama
hana
uhakika nacho atalipiza V
W X
hawa wanajionaga watu wa
njee
kabisa wanajifanyaga sio watoto
wa kibongo wana copy love
kwenye tamthilia habari za kulia
lia ndio zao Y
Z
hawa ni watoto wa uswaz
micharuko kila kigodoro wapo
kukesha kwenye club ndio zao ila hawanaga wapenzi parmanent
la mpenzi wako na sifa zake A
B
C
wasumbufu na mara nyingi
wanakua watoto wa kishua D E
F
wa kawaida sana ila ni
wa siri wana mambo mengi
ila hauwezi kujua G
H I
micharuko wana ham na dunia
ila wanayajua mapenzi
utadhan walizaliwa kwa ajili hio
mara nyingi hawaachiki wao
ndio wanawaacha watu J
K
L
hapa unaweza ukabahatika
hawana matukio wala rekodi
mbaya ila tatizo lao n watu wa huruma sana hawajui kukataa
kiomba unapewa M
N
O
hawa nao kero wanajionaga
mastar sana na hawapendi kutumia majina yao ya asili mara nyingi
wanaedit name zao P
Q
R
hawa hawa sikiki sana
wakimya wataratibu ila mara nyingi hawana
mvuto wa sura au umbo S
T
U
hawa ni wachache sana dunian
ila wana kiburi kila kitu wanaona kama umewaonea wanapenda
kulipiza
kisasi akisikia kitu hata kama
hana
uhakika nacho atalipiza V
W X
hawa wanajionaga watu wa
njee
kabisa wanajifanyaga sio watoto
wa kibongo wana copy love
kwenye tamthilia habari za kulia
lia ndio zao Y
Z
hawa ni watoto wa uswaz
micharuko kila kigodoro wapo
kukesha kwenye club ndio zao ila hawanaga wapenzi parmanent