BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,048
Tafuta nyumba za mabaharia wenzako hawana hizoHivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje?? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au?? toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia hapangaishi kwa vijana ambao hatujaoa sasa sisi tuna nini?? Kwamba hatulipi kodi??. Maendeleo hayana chama hivi ndo huu utararibu upya umeanza au??
Hawataki uzinzi kwenye nyumba zao... sema umeoa mkeo yupo mkoa mwingine kikazi atakua anakuja kukutembelea mara kwa mara... ukiulizwa cheti cha ndo hapo kazi kwako.
Oa kwanza wanaogopa utatembeza mti kwa wake zao, wenye nyumba walishaona mengi.
Tatizo mnajiita mabaharia wakati mmekulia huko Makongorosi Chunya hamjui hata meli na bahari vinafananaje.
WACHA WAISOME NAMBA......
Hawataki uzinzi kwenye nyumba zao... sema umeoa mkeo yupo mkoa mwingine kikazi atakua anakuja kukutembelea mara kwa mara... ukiulizwa cheti cha ndo hapo kazi kwako.
Tafuta nyumba za mabaharia wenzako hawana hizo
Labdaa wanaogopaa kunyumba zao kugeuzwa guest House
wanaogopa utatoka na mke wa mwenye nyumba
Nyie vijana ambao hamjaoa huwa mna tabia za kishenzi sana.Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje?? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au?? toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia hapangaishi kwa vijana ambao hatujaoa sasa sisi tuna nini?? Kwamba hatulipi kodi??. Maendeleo hayana chama hivi ndo huu utararibu upya umeanza au??
Hawataki tabia zenu chafu kwenye nyumba zao.