Wamiliki wa nyumba kwa kutopangisha wasiooa mnazingua

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,209
39,020
Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au??

Toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia hapangaishi kwa vijana ambao hatujaoa sasa sisi tuna nini?

Kwamba hatulipi kodi??. Maendeleo hayana chama hivi ndo huu utararibu upya umeanza au?
 
Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje?? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au?? toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia hapangaishi kwa vijana ambao hatujaoa sasa sisi tuna nini?? Kwamba hatulipi kodi??. Maendeleo hayana chama hivi ndo huu utararibu upya umeanza au??
Tafuta nyumba za mabaharia wenzako hawana hizo
 
Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje?? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au?? toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia hapangaishi kwa vijana ambao hatujaoa sasa sisi tuna nini?? Kwamba hatulipi kodi??. Maendeleo hayana chama hivi ndo huu utararibu upya umeanza au??
Nyie vijana ambao hamjaoa huwa mna tabia za kishenzi sana.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom