New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,428
- 2,652
KambaKama yule Mbunge wa Makambako nasikia ana Malori kama 300 hivi
KambaKama yule Mbunge wa Makambako nasikia ana Malori kama 300 hivi
Hutoa serikalini na kwenye mabankImagine, kuna haya mabasi
Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc
Malori ndiyo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Njia yoyote?,Itabidi Serikali tuanze kukufuatilia.Kwa kweli Mimi nimepanga kwenda kumuuliza tajiri mmoja yani yeye alifanyaje hadi akaweza kumiliki kuanzia Milioni 500.
Nimeamua nitumie njia yoyote ile kupata hela kwa kweli.
Hatuwezi wote kuwa matajiri,hivi wote tukiwa na mabasi hali itakuwaje?.Nipo hizo connection za wizi,na ufisadi basi,yani haiwezekani MTU amiliki mabasi karibu 30 ya million 400 Mimi sina hata kibanda.
JapipoKama yule Mbunge wa Makambako nasikia ana Malori kama 300 hivi
Waliofanya kazi..Imagine, kuna haya mabasi
Ester Luxury
Tilisho
Happy Nation
Sauli
New Force
Arusha Express
Shabiby
Abood
Machame Express
Kapricon
Kilimanjaro Express
Dar Express
Zube
Saratoga
Mgamba
Kimbinyiko
Abc
Ally's
Saibaba
etc etc
Malori ndiyo usiseme.
Unakuta mtu ana basi 10, 20 au 60. Basi moja bei yake ni Milion 300, 400 hadi 500. Jamaa wanapata wapi hela aisee?
Yule anayo kweliKamba
Ni kazi tu...nidhamu..uaminifu...Yani hill swali kila siku nikipita hapa maeneo ya Shekilango huwa najiuliza nakosa jibu. Jana nimeona Haya mabasi ya BM kama 20 hivi-hawa watu walifanya kitu gani hadi wakapata hizo hela.
Umekuja mjini lini?Hiyo plot Kkoo kaipataje?
Mirerani ilikuwa zamani sasa hivi kawaida sana....kutoka madini nikama kuvizia...tuKuna mtu namfahamu Ana Shimo pale mererani, shimo lake lina uwezo wa kutema vyombo kila mwezi, makinikia ndio usiseme.
Huyu akisema anakopa Ana uwezo wa kukopa kununua hayo mabus yote uloyataja na chenchi ikabaki.
Kuna watu wanamiliki Assets ambazo ndio maisha yao, Nyingi zisizoonekana.
Mabus na Malori ni vinyongeza tu...
Zipo na za urithi na kupambana pia.Kuna pesa za majini, kafara, wizi, magendo, zari mfano kwenye madini, ufisadi Serikalini
Muda wako kwa siku....unautumiaje?Unatoa ushauri gani kwetu sisi ambao hatuna vigezo vya kukopesheka hata laki moja?
Yutong na michina mingine kurudisha gharama ni mwaka mmoja tu.Ukiongea nao wanakwambia biashara ya mabasi kichaa but kila mwaka wanaongeza bus 20, 10 nk. Na eti wastani wa basi moja kurudisha gharama ni ni kati ya miaka miwili kwa yutong.
Upo nje ya mfumo ndio maanaNipo hizo connection za wizi na ufisadi basi, yaani haiwezekani MTU amiliki mabasi karibu 30 ya million 400 mimi sina hata kibanda.
Hakuna mwanasiasa atakayekufanya tajiriSiku tukiingia barabarani na kuwatoa hao MAJIZI katika system basi Kila raia wa nchi hii ataweza kumiliki angalau gari na nyumba ambayo ni standard,NCHI IMESHAOZA HII
Hama huko MaporiniMbona hao wa viwango vya juu?...Mimi hapa nawaza nitapata hata ist wapi, au nitaanzaje biashara ya kunipatia 10,000 kwa siku....na type hii sms nikiwa kigoma vijijini.
Kwa mtu km huyu anaweza as long as una nizamu ya hela,mshahara wake bungeni ndio mtaji plus kilimo mchawi nikupata gari la kwanza the rest inakua story trust me inawezekana ndio maana watu hata kustaafu hawataki kule kuna helaKama yule Mbunge wa Makambako nasikia ana Malori kama 300 hivi
Ni Mpogoro bila shakahuyu BM ndo anaitoa kimasomaso morogoro, anajenga ghorofa refu kuliko yote moro pale masika