Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,246
- 6,651
Hawa wa grosari ndo mbwa kabisa, kukojoa barabarani
Poleni sana.Hzo urine pot zenyewe sasa ndo zinazozingua zina hadi rangi ya unjano na harufu kaliiii hazipitishwi sabun kabsa yani
Basi nunua bia na unywe kwako, otherwise endelea kutumia vyoo vichafu ambavyo wenye bar wameona vinawafaa walevi wao.Umeandika ujinga mtupu. Mtanzania yupi atoke kilometer 30 kwenda kunywa bia 3 Serena?
tena bora wanaokojoa barabarani wastaarabu wengine wakishawaka wanakojolea ukuta wa hyo grosarry kwa nyumaHawa wa grosari ndo mbwa kabisa, kukojoa barabarani
ukitaka salama za uhakika nenda kwenye mabox ya hospitali tu hazijawahi kuisha hukoWanaboa sana kwakuwa wanatuona wanywaji hawatujali.Halafu kitu inaniudhi box la salama linakuwepo ila salama hukuna dah
Bia moja 20000 serena.Bia nyingi za sasa hivi hazina viwango, haziivi utake usitake utatafuta maliwato tu.
Mpaka sasa kwenye huduma ya vyoo hakuna wanaowafikia Serena hotel.
Zile toilet zao kuna loster ya wafanya usafi kila dakika 30 lazima pafanyiwe usafi na usaini ile card na muda wote vyoo vyao vina harufu nzuri na unique air freshener.
tena bora wanaokojoa barabarani wastaarabu wengine wakishawaka wanakojolea ukuta wa hyo grosarry kwa nyuma
coca 12k tu serena acha utani basiBia moja 20000 serena.
tunaongea baa zetu hizi bucket 9000 bia 6..
Unamwagilia moyo
Serena cocacola inaweza kuwa 12000
Juzi kati nilikuwa na meeting Ramada Mbezi beach maji madogo ya Kilimanjaro ni sh 7000/= mitaani jero tu.Bia moja 20000 serena.
tunaongea baa zetu hizi bucket 9000 bia 6..
Unamwagilia moyo
Serena cocacola inaweza kuwa 12000
Serena juice ni shilling 10,000/= glasi moja, kwahiyo coca lazima itakuwa pungufu ya bei hiyo, sijawahi kunywa soda hotelini hata bei zake sizingatiagi.coca 12k tu serena acha utani basi
Nenda pale siku ulete majibu.coca 12k tu serena acha utani basi
Tatizo la watanzania ni wachafu vyooni,hawafuati miiko wa vyoo,wanajikuta wamevaa suti then hawajui kutumia choo kistaarabuHabari wanajamvi,
Mimi nikiwa km mdau wa kupiga vyombo ningependa niwawakilishe wala masanga wenzangu tunaopenda kuhudhuria kwenye hizi Baa na Lounge kupata moja mbili Bariiiiiiiidi.
Naona uwekezaji kwnye hii sekta umekua mkubwa sana kwa sasa lakini wamiliki wa haya maeneo wanapuuzia kufanya marekebisho au Usafi wa nguvu ktk haya maeneo hapa nazungumzia Vyoo.
Nimezunguka Bar na Lounge nyngi sana kwny hii nchi(200+) lakini tatzo la uchafu na vyoo visivyoeleweka limekua Common kwny haya maeneo mengi niliyopita.
Wamiliki watilie mkazo na suala la Vyoo siyo kushindana tu kuweka wahudumu wazuri na wenye makalio makubwa na kusahau sehemu hii nyeti.
NAWASILISHA.
Hoteli kubwa ni sehemu ya kutakatisha fedha tuu,hakuna la maana na ndo huko utakunywa chai baridi sababu inatembezwa vyombo Tofauti na hatua Tofauti mpaka inapoaNenda pale siku ulete majibu.
50 k pale ni hela ya bia 2 na maji.
Cola yenyewe hupati.
Nomaa aiseee wacha tuwe tunaipita kwa nje tu..Nenda pale siku ulete majibu.
50 k pale ni hela ya bia 2 na maji.
Cola yenyewe hupati.
Kutakatisha fedha kivpi mzeebaba..???Hoteli kubwa ni sehemu ya kutakatisha fedha tuu,hakuna la maana na ndo huko utakunywa chai baridi sababu inatembezwa vyombo Tofauti na hatua Tofauti mpaka inapoa
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.Bia nyingi za sasa hivi hazina viwango, haziivi utake usitake utatafuta maliwato tu.
Mpaka sasa kwenye huduma ya vyoo hakuna wanaowafikia Serena hotel.
Zile toilet zao kuna loster ya wafanya usafi kila dakika 30 lazima pafanyiwe usafi na usaini ile card na muda wote vyoo vyao vina harufu nzuri na unique air freshener.
Ni kweli, kuna siku nilienda Samaki samaki pale mlimani, vyoo vyao visafi kabisa.Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.
Nilichopenda zaidi kuna mdogo wapo standby MTU akitoka Tu hapo hapo wanaingia kufanya usafi.
Hicho kitu umenkumbusha Quality Centre enzi hzo nao walkua vzur sanaaUmenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.
Nilichopenda zaidi kuna mdogo wapo standby MTU akitoka Tu hapo hapo wanaingia kufanya usafi.
daahh hapo ukute kanunua demu halafu unamwambia 3000 tena ya condom unamchanganya mwenzio ndo mana anatafuta za bureHizi ni shida zako sasa, mgongaji mahiri hatumii free condom, Rough Rider sh 3000 tu.