KERO Wamiliki wa Baa na Lounge mjirekebishe kwenye huduma ya vyoo, mnajisahau sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kabisa, siku nilipita Hugo pale aisee chooni ni kuchafu balaa.
Yaani kutoka huko hata hamu ya kula ikaisha.
Na ni kila mahali hivyohivyo.
Labda Masaki huko.
 
Bia nyingi za sasa hivi hazina viwango, haziivi utake usitake utatafuta maliwato tu.

Mpaka sasa kwenye huduma ya vyoo hakuna wanaowafikia Serena hotel.

Zile toilet zao kuna loster ya wafanya usafi kila dakika 30 lazima pafanyiwe usafi na usaini ile card na muda wote vyoo vyao vina harufu nzuri na unique air freshener.
Bia moja 20000 serena.
tunaongea baa zetu hizi bucket 9000 bia 6..
Unamwagilia moyo
Serena cocacola inaweza kuwa 12000
 
Bia moja 20000 serena.
tunaongea baa zetu hizi bucket 9000 bia 6..
Unamwagilia moyo
Serena cocacola inaweza kuwa 12000
Juzi kati nilikuwa na meeting Ramada Mbezi beach maji madogo ya Kilimanjaro ni sh 7000/= mitaani jero tu.

Hiz hotel kubwa mimi nazipendeaga kwa ajiri brach buffet tu kwenye restaurant zao.

Yani hapo lazima unawala wewe sasa kwa msosi utakaogonga nonstop mpaka restaurant timetable wanabadili session.
 
Habari wanajamvi,

Mimi nikiwa km mdau wa kupiga vyombo ningependa niwawakilishe wala masanga wenzangu tunaopenda kuhudhuria kwenye hizi Baa na Lounge kupata moja mbili Bariiiiiiiidi.

Naona uwekezaji kwnye hii sekta umekua mkubwa sana kwa sasa lakini wamiliki wa haya maeneo wanapuuzia kufanya marekebisho au Usafi wa nguvu ktk haya maeneo hapa nazungumzia Vyoo.

Nimezunguka Bar na Lounge nyngi sana kwny hii nchi(200+) lakini tatzo la uchafu na vyoo visivyoeleweka limekua Common kwny haya maeneo mengi niliyopita.

Wamiliki watilie mkazo na suala la Vyoo siyo kushindana tu kuweka wahudumu wazuri na wenye makalio makubwa na kusahau sehemu hii nyeti.

NAWASILISHA.
Tatizo la watanzania ni wachafu vyooni,hawafuati miiko wa vyoo,wanajikuta wamevaa suti then hawajui kutumia choo kistaarabu
 
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo
Bia nyingi za sasa hivi hazina viwango, haziivi utake usitake utatafuta maliwato tu.

Mpaka sasa kwenye huduma ya vyoo hakuna wanaowafikia Serena hotel.

Zile toilet zao kuna loster ya wafanya usafi kila dakika 30 lazima pafanyiwe usafi na usaini ile card na muda wote vyoo vyao vina harufu nzuri na unique air freshener.
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.

Nilichopenda zaidi kuna mdogo wapo standby MTU akitoka Tu hapo hapo wanaingia kufanya usafi.
 
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo

Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.

Nilichopenda zaidi kuna mdogo wapo standby MTU akitoka Tu hapo hapo wanaingia kufanya usafi.
Ni kweli, kuna siku nilienda Samaki samaki pale mlimani, vyoo vyao visafi kabisa.
 
Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo

Umenikumbusha kuna siku nimeingia vyoo vya mlimani city nilishangaa Sana kuona vyoo vya public halafu vikawa visafi kiasi kile yaan vinazidi vyoo vingi vya nyumba za watu binafsi.

Nilichopenda zaidi kuna mdogo wapo standby MTU akitoka Tu hapo hapo wanaingia kufanya usafi.
Hicho kitu umenkumbusha Quality Centre enzi hzo nao walkua vzur sanaa
 
Back
Top Bottom