Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,632
- 46,079
mchepuko .kupenda sponsor kumemtoa roho
Tamaa zinawaponza vijana...sasa hapo ukute aliona kawiiin...ila wadada mna hatari sana.. yaani miaka 21 unapewa dili la kumnasa jamaa kamacambo unakubali.. na sia ajabu walimdanganya hawana nia ya kumua jamaaa... na baada ya kumuua wakamuua na binti ili kupoteza ushahidi walijua binti angevujisha siri...
so kabla hajalipwa hela yake ya kazi wakamuua na yeye..... mtoto wa miaka 21 wa kike anacheza dili za kimafiaa... mtu kama huyu akifika 40 si itakuwa hatarii
Kama ni kweli alikubali kuwa chambo cha kumnasa jamaa basi amevuna alichokipandaila wadada mna hatari sana.. yaani miaka 21 unapewa dili la kumnasa jamaa kamacambo unakubali.. na sia ajabu walimdanganya hawana nia ya kumua jamaaa... na baada ya kumuua wakamuua na binti ili kupoteza ushahidi walijua binti angevujisha siri...
so kabla hajalipwa hela yake ya kazi wakamuua na yeye..... mtoto wa miaka 21 wa kike anacheza dili za kimafiaa... mtu kama huyu akifika 40 si itakuwa hatarii
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi mzuri
- Huyu kauawa pamoja na yule IT wa Tume ya Uchaguzi Mkuu Kenya, inaaminiwa alikuwa chambo ya kumnasa jamaa, walipofanikisha na yeye wakamtoa roho
Hiyo miaka 40 ataifikishia wapi mkuu??? Au unadhani amezimiaila wadada mna hatari sana.. yaani miaka 21 unapewa dili la kumnasa jamaa kamacambo unakubali.. na sia ajabu walimdanganya hawana nia ya kumua jamaaa... na baada ya kumuua wakamuua na binti ili kupoteza ushahidi walijua binti angevujisha siri...
so kabla hajalipwa hela yake ya kazi wakamuua na yeye..... mtoto wa miaka 21 wa kike anacheza dili za kimafiaa... mtu kama huyu akifika 40 si itakuwa hatarii
Tamaa zinawaponza vijana...sasa hapo ukute aliona kawiiin...
Mtoto mdogo sana huyu..sijui ht km alikua anasoma au vipi..
At age of 21, jamani inasikitisha sana; tunakuombea kwa Mungu!! (RIP) Beautiful Carol Ngumbu. too sad kwa kweli.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
She was Chelsea FC fun - Lah!!
Uh..!!!!nimecheki youtube tv za kenya hakuwa chambo... inasemekana huyu binti ni mchepuko wa jamaa for almost a year wapo pamoja.... hata siku hiyo aliaga kwa dada yake kwamba anaenda outing na jamaa for a drink.. binti alikwa mwanachuo chuo cha afya akisomea nutrition,, na alitegemewa ku graduate december mwaka huu
so hakuwa chambo ni mtu na demu wake sema haijulikani kama walitekwaje na kwenda kuuwawa.. maana gari ya jamaa imepatikana 40km imepak toka walipouwawa.. maana yake walitekwa na kupakiwa gari ya wauaji
Bora hata walikaondoa mapema maana kangefikisha 40 kangekuwa kameangamiza wengi.ila wadada mna hatari sana.. yaani miaka 21 unapewa dili la kumnasa jamaa kamacambo unakubali.. na sia ajabu walimdanganya hawana nia ya kumua jamaaa... na baada ya kumuua wakamuua na binti ili kupoteza ushahidi walijua binti angevujisha siri...
so kabla hajalipwa hela yake ya kazi wakamuua na yeye..... mtoto wa miaka 21 wa kike anacheza dili za kimafiaa... mtu kama huyu akifika 40 si itakuwa hatarii