Wakazi wa eneo la Katoro Geita hatuna amani kabisa baada ya tukio la jana saa 3 asbuhi tuliposhuhudia mwili wa binadamu mwanaume ukiwa umechunwa ngozi na kutelekezwa katka uwanja mmoja ambao unaandaliwa kwa ajili ya kujengwa stendi mpya,kwa kweli inatisha hasa kwa walioshuhudia tukio hilo la kinyama ambalo limefanywa na binadamu,kweli binadamu tunatisha..MUNGU naye nahisi katugeuzia kisogo.
MBEYA, IRINGA,RUKWA, SHINYANGA, MWANZA, MARA - Hivi watu wa mikoa hii wana utu kiasi gani; mi nakuogopa sana toka nione mwili wa mtu alochunwa ngozi mbozi sina hamu nako kabisa.
MBEYA, IRINGA,RUKWA, SHINYANGA, MWANZA, MARA - Hivi watu wa mikoa hii wana utu kiasi gani; mi nakuogopa sana toka nione mwili wa mtu alochunwa ngozi mbozi sina hamu nako kabisa.
,najarbu kufananisha mnyama anapovuliwa ngozi anavyokuwa bonadam ??? Dah inatisha kwakweli
Wakazi wa eneo la Katoro Geita hatuna amani kabisa baada ya tukio la jana saa 3 asbuhi tuliposhuhudia mwili wa binadamu mwanaume ukiwa umechunwa ngozi na kutelekezwa katka uwanja mmoja ambao unaandaliwa kwa ajili ya kujengwa stendi mpya,kwa kweli inatisha hasa kwa walioshuhudia tukio hilo la kinyama ambalo limefanywa na binadamu,kweli binadamu tunatisha..MUNGU naye nahisi katugeuzia kisogo.
MBEYA, IRINGA,RUKWA, SHINYANGA, MWANZA, MARA - Hivi watu wa mikoa hii wana utu kiasi gani; mi nakuogopa sana toka nione mwili wa mtu alochunwa ngozi mbozi sina hamu nako kabisa.
Imekuaje?sidhani kama ni utashi wako mwenyewe, kuna roho mbaya wa SAUL anakusumbua wewe. si bure