G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,276
- 38,847
Haya matapeli banah. Yameenda mbele ya geti la tume wakakutana na polisi hata nyota moja hana. Huyu polisi akaanza kuwaambia sijui mshenga sijui barua. Mara si mnaongea tu yanaisha?
Wakaitika ndiyo mzee wakagonga tano na huyo polisi wakaondoka zao. Ila mgombea wao ndiyo kakatwa hivyo.
Sasa hawa wameshindwa kulinda mgombea mbele ya polisi watano wataweza kulinda kura mbele ya jeshi?
Si wangehamasishana nchi nzima wajae pale tume wahakikishe mgombea wao anatangazwa?
Sema yalipokuwa yanasaini zile karatasi huku yakitunanga yalijua kuwa oktoba haitafika. Walijiona wana mdomo sana sasa kimewakuta wanalilia tu mitandaoni.
Wakaitika ndiyo mzee wakagonga tano na huyo polisi wakaondoka zao. Ila mgombea wao ndiyo kakatwa hivyo.
Sasa hawa wameshindwa kulinda mgombea mbele ya polisi watano wataweza kulinda kura mbele ya jeshi?
Si wangehamasishana nchi nzima wajae pale tume wahakikishe mgombea wao anatangazwa?
Sema yalipokuwa yanasaini zile karatasi huku yakitunanga yalijua kuwa oktoba haitafika. Walijiona wana mdomo sana sasa kimewakuta wanalilia tu mitandaoni.