Kutoka kwa wadau waliyopo Qatar

papag

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
1,137
1,608
Hili la ajira Kombe la Dunia hapa Qatar, litufikirishe sana kama nchi.

Tumejiridhisha pasi na shaka, Afrika Mashariki imetumika sana kama raslimali watu hapa Qatar hasa kwenye maeneo ya security hospitality (Hotel & Bars), madereva na maeneo mengine mitaani na viwanjani.

Naweza kusema kwa uwazi 80% ya maeneo niliyotaja yamechukuliwa na East Africa hasa hasa Kenya na Uganda. Waliobaki (tuseme 20%) ni Wafilipino na West Africa.

Nimeshangazwa na kukuta asilimia ndogo sana ya West Africa kwenye hayo maeneo, nikaambiwa wao wakipata chance ya ulinzi kwa mfano wanatumia muda wa mapumziko kusoma, hivyo wana upgrade position kila mwaka na kwa sasa wengi wao wapo kwenye maeneo ya juu zaidi (management).

Serikali ya Qatar inamiliki train(Metro na Tram), mabasi ya abiria na tax (Karwa). Hili ni eneo lililoajiri hasa. Na usafiri wote huu,umeunganishwa na viwanja vyote vinavyotumika WC.

Swali, kwanini hakuna madereva Watanzania? Kila kituo cha train kina wafanyakazi wengi sana wanaoelekeza watu sehemu ya kwenda. Kwanini hapa hakuna Watanzania?

Kwenye mahoteli, clubs tulizotembelea n.k, walinzi na wahudumu mpaka mameneja, wote ni East Africa, kwanini hakuna Watanzania?

Tumekuja na tafakuri kidogo:
Asilimia kubwa ya watu wanaofanya kazi za namna hiyo ni drop out wa form four au darasa la saba.

University graduate na drop out wa form six watatafuta white collar Job and the like. Je, na huko kuna Watanzania?

Hatujafika huko kwenye hii research, lakini huko naamini bado tunashindana na haohao Wakenya na Waganda, na zaidi wanaongezeka watu wa west Africa.

Kupata kazi huku kwa drop out wetu wa form 4 na std. 7, lazima interview ni Kingereza ili waweze kuhudumia wageni. Form 4 wetu wanaweza kushindana katika interview hizo hapa Qatar au nje ya hapa?

Form Six na graduate wetu hawawezi kuja kuanza kazi za hadhi ya chini, wakitafuta namna ya kujipenyeza juu? Huenda hata hawa tunaowaona wanafanya hivi.

Tuna haja ya kuendelea kushinikiza Kiswahili kifundishwe mpaka ngazi ya chuo kikuu? Tuna uwezo wa kuajiri watu wetu wote ndani ya nchi yetu? Nchi ina haja ya kutuma watu kuja kulitazama hili kwa kina hapa Qatar.

Anyway Jamani, hapa Qatar ikifika saa 11 Jioni inakuwa giza totoro, japo muda unafanana sawa na hapo nyumbani. Na baridi jioni ni kama tuko Arusha. Viwanjani AC kali sana lazima uende na sweta au koti.

Bado tunaendelea kujifunza, tutaendelea kuwajuza.

Imeandikwa na;
Kazimoto,
Kileo,
Amir,
Sam.
 
Msaada
Nataka nijilipue huko nahitaji kuwa na vitu gani
Tupeane info na mengine tuachiwe wenyewe
 
Umeandika mengi mazuri lakn umeshindwa kujua haya Kutoka nchini kwetu hapa Tanzania ambayo ndyo n kikwazo kikubwa

Passport ... Kuomba passport pale uhamiaji n Kama Vita vile yaan huna haki Kama mtanzania kuipata utaulizwa ya nn kwann uende nje mbona hapa bongo fursa zipo watakuambia na blah blah nyingi Sana bado rushwa pia itahusika baadh ya nchi hapa hapa Africa mtoto akizaliwa tu anapewa Chet Cha kuzaliwa bima ya afya na passport

Mfumo wetu wa elimu haujatuandaa kwa ajili ya upambanaji umetuandaa kwa ajili ya kufanya Kaz za ofsn na si ubunifu ukichanganya na hoja za hapo juu utaona kabisa kabisa tuna safari ndefu

Mfumo wa kijamaa ulitufanya tusiwe watu wa kusaka fursa kumiliki Mali ilikuwa kosa kitoka nje kusaka fursa ilikuwa Kama uhujumu wa nchi kwa hyo akil kubwa na ndogo zilibak hapa nyumbani huku support told kwa watawala ikiwa n finyu

Waganda na wakenya wenzetu wamepitia changamoto nyingi na zimewafumbua ukijumlisha na LUGHA ya kiingereza Kama LUGHA kuu ya darasan vimewaokoa Sana

Nchi itupe passport iache ukiritimba vjana tusafir duniani kutafuta fursa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umeandika mengi mazuri lakn umeshindwa kujua haya Kutoka nchini kwetu hapa Tanzania ambayo ndyo n kikwazo kikubwa

Passport ... Kuomba passport pale uhamiaji n Kama Vita vile yaan huna haki Kama mtanzania kuipata utaulizwa ya nn kwann uende nje mbona hapa bongo fursa zipo watakuambia na blah blah nyingi Sana bado rushwa pia itahusika baadh ya nchi hapa hapa Africa mtoto akizaliwa tu anapewa Chet Cha kuzaliwa bima ya afya na passport

Mfumo wetu wa elimu haujatuandaa kwa ajili ya upambanaji umetuandaa kwa ajili ya kufanya Kaz za ofsn na si ubunifu ukichanganya na hoja za hapo juu utaona kabisa kabisa tuna safari ndefu

Mfumo wa kijamaa ulitufanya tusiwe watu wa kusaka fursa kumiliki Mali ilikuwa kosa kitoka nje kusaka fursa ilikuwa Kama uhujumu wa nchi kwa hyo akil kubwa na ndogo zilibak hapa nyumbani huku support told kwa watawala ikiwa n finyu

Waganda na wakenya wenzetu wamepitia changamoto nyingi na zimewafumbua ukijumlisha na LUGHA ya kiingereza Kama LUGHA kuu ya darasan vimewaokoa Sana

Nchi itupe passport iache ukiritimba vjana tusafir duniani kutafuta fursa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu unachoongea kilinitokea mwaka juzi.Nilipigwa na maswali hayo pale kurasini mpka nikachanyikiwa sijui kwa sababu ya muonekano wangu?Naweza kuwa na cheti kuanzia cha kuzaliwa,Cha Taifa mpka cheti cha Degree bado ukawa na wasiwasi wa utanzania wangu kiasi kile?

Ilikuwa niende zangu CANADA.Fursa ikanipita bhana
 
Msaada
Nataka nijilipue huko nahitaji kuwa na vitu gani
Tupeane info na mengine tuachiwe wenyewe
Kuna wasomari wanagawa form za kazi huko Qatar wapo Kariakoo, mimi ninayo moja ila sijaijaza nilikuwa nahisi magumashi tu, ila ngoja niijaze afu niwarudishie kazi inahusiana na maswala ya ulinzi
 
Mkuu unachoongea kilinitokea mwaka juzi.Nilipigwa na maswali hayo pale kurasini mpka nikachanyikiwa sijui kwa sababu ya muonekano wangu?Naweza kuwa na cheti kuanzia cha kuzaliwa,Cha Taifa mpka cheti cha Degree bado ukawa na wasiwasi wa utanzania wangu kiasi kile?

Ilikuwa niende zangu CANADA.Fursa ikanipita bhana
Wengi humu hawawez kulielewa hili sababu hawajawah kujaribu kwenda nje kutafuta fursa na kama wameenda bas n kwa njia ya ile ya panya au baba anafahamiana na afisa wa uhamiaji au kiongoz wa juu

Passport n haki ya kila mtanzania lakn baadh ya viongoz wamezigeuza Mali zao

Nataman watanzania wote tungeweka mjadala huru juu ya hili ili kudai haki zetu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wengi humu hawawez kulielewa hili sababu hawajawah kujaribu kwenda nje kutafuta fursa na kama wameenda bas n kwa njia ya ile ya panya au baba anafahamiana na afisa wa uhamiaji au kiongoz wa juu

Passport n haki ya kila mtanzania lakn baadh ya viongoz wamezigeuza Mali zao

Nataman watanzania wote tungeweka mjadala huru juu ya hili ili kudai haki zetu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli kabsa mkuu
 
Umeandika mengi mazuri lakn umeshindwa kujua haya Kutoka nchini kwetu hapa Tanzania ambayo ndyo n kikwazo kikubwa

Passport ... Kuomba passport pale uhamiaji n Kama Vita vile yaan huna haki Kama mtanzania kuipata utaulizwa ya nn kwann uende nje mbona hapa bongo fursa zipo watakuambia na blah blah nyingi Sana bado rushwa pia itahusika baadh ya nchi hapa hapa Africa mtoto akizaliwa tu anapewa Chet Cha kuzaliwa bima ya afya na passport

Mfumo wetu wa elimu haujatuandaa kwa ajili ya upambanaji umetuandaa kwa ajili ya kufanya Kaz za ofsn na si ubunifu ukichanganya na hoja za hapo juu utaona kabisa kabisa tuna safari ndefu

Mfumo wa kijamaa ulitufanya tusiwe watu wa kusaka fursa kumiliki Mali ilikuwa kosa kitoka nje kusaka fursa ilikuwa Kama uhujumu wa nchi kwa hyo akil kubwa na ndogo zilibak hapa nyumbani huku support told kwa watawala ikiwa n finyu

Waganda na wakenya wenzetu wamepitia changamoto nyingi na zimewafumbua ukijumlisha na LUGHA ya kiingereza Kama LUGHA kuu ya darasan vimewaokoa Sana

Nchi itupe passport iache ukiritimba vjana tusafir duniani kutafuta fursa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu sjui Kwa wew labda uliomba passport Kwa miaka ya nyuma ila Kwa kipindi hiki passport unapata bila shida mim niliomba passport nilipata ndani ya wiki mbili tu na hakuna mambo ya kuhojiwa sjui na nani Wala nani na Sina ndugu wa rafiki yoyote immigration Wala sikutoa rushwa nilitoka pesa ambayo walikua wanahitaji wenyewe siku nayo kusanya form niliambiwa njoo tarehe flani uchukue passport Yako na kweli siku niliyoenda nilipewa passport
 
Wengi humu hawawez kulielewa hili sababu hawajawah kujaribu kwenda nje kutafuta fursa na kama wameenda bas n kwa njia ya ile ya panya au baba anafahamiana na afisa wa uhamiaji au kiongoz wa juu

Passport n haki ya kila mtanzania lakn baadh ya viongoz wamezigeuza Mali zao

Nataman watanzania wote tungeweka mjadala huru juu ya hili ili kudai haki zetu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapana passport zinatolewa vizuri kabisa kaombe xaiz uje utoe majibu hapa wiki mbili nyingi unapewa passport Yako labda kama hujakamilisha vitu vyao ila kama Kila kitu kipo unapewa tena kama pale uhasibu pale reception Kuna jamaa Wana customer care nzuri sana
 
Mkuu unachoongea kilinitokea mwaka juzi.Nilipigwa na maswali hayo pale kurasini mpka nikachanyikiwa sijui kwa sababu ya muonekano wangu?Naweza kuwa na cheti kuanzia cha kuzaliwa,Cha Taifa mpka cheti cha Degree bado ukawa na wasiwasi wa utanzania wangu kiasi kile?

Ilikuwa niende zangu CANADA.Fursa ikanipita bhana
Kama issue ndogo tu passport imekutowa kamasi Sasa Canada ungekwenda kufanya nini?

Baki nyumbani tu, Abroad si kwa watu wenye bongolala.
 
Umeandika mengi mazuri lakn umeshindwa kujua haya Kutoka nchini kwetu hapa Tanzania ambayo ndyo n kikwazo kikubwa

Passport ... Kuomba passport pale uhamiaji n Kama Vita vile yaan huna haki Kama mtanzania kuipata utaulizwa ya nn kwann uende nje mbona hapa bongo fursa zipo watakuambia na blah blah nyingi Sana bado rushwa pia itahusika baadh ya nchi hapa hapa Africa mtoto akizaliwa tu anapewa Chet Cha kuzaliwa bima ya afya na passport

Mfumo wetu wa elimu haujatuandaa kwa ajili ya upambanaji umetuandaa kwa ajili ya kufanya Kaz za ofsn na si ubunifu ukichanganya na hoja za hapo juu utaona kabisa kabisa tuna safari ndefu

Mfumo wa kijamaa ulitufanya tusiwe watu wa kusaka fursa kumiliki Mali ilikuwa kosa kitoka nje kusaka fursa ilikuwa Kama uhujumu wa nchi kwa hyo akil kubwa na ndogo zilibak hapa nyumbani huku support told kwa watawala ikiwa n finyu

Waganda na wakenya wenzetu wamepitia changamoto nyingi na zimewafumbua ukijumlisha na LUGHA ya kiingereza Kama LUGHA kuu ya darasan vimewaokoa Sana

Nchi itupe passport iache ukiritimba vjana tusafir duniani kutafuta fursa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapa bongo mambo mengi ni trab na trat... yaani yaani yaaani yyaaa yyyya yan trab na trat.

Linchi la ajabu sana hili lenye viongozi wasio na maono
 
Back
Top Bottom