Wamarekani wanataka nini Wizara ya mambo ya Ndani?

Miafrika utaijua tu mawazo yao. Yenyewe huwa ikikosea inamtafuta wa kumsukumia makosa. Kiafrika imekaa kimajungu majungu tu. Sijui ikoje. Vita mnagombana wenyewe kwa kutoheshimu demokrasia au mawazo ya watu mnakuja kusingizia wazungu.huu ni maximum upumbavu. Vikitokea vita zanzibar mtasema wazungu, au uganda kwa uhuni wa museven au burund.huko mtasema ni wazungu. Hivi si tukoje? Unagombana na mkeo na familia yako unasema majirani wanawagombanisha nyie mnaakili timamu kweli?Ni kulia lia kila siku utadhan mitoto iliyodaa akili au ilizaliwa kabla ya wakati.
Hii aione mkuu Mshana Jr. Imekuwa hulka yetu kuwatupia lawama watu weupe kila tunapokosea. Well narrated kiongozi.
 
Ukitokea msala mahala US wakikaa kimya utasikia mbona wapo kimya,wakiingilia utasikia mbona wanaingilia.Waacheni bhana hata kabla ya WW2 walikua na "isolition policy" hadi walipochokozwa.
 
Tanzania sio kisiwa. Wakinusa fursa lazima waichangamkie. Inabidi Magufuli awe mjanja kweli. Ikibidi atengeneze kibomu cha nuclear, wasitubabaishe. Uranium si tunayo yakutosha. Mwenzake walimkumbatia akafikiri wanampenda. Awe mwangalifu mpaka na hao wa Vietnamese.
unachukulia mambo kirahisi rahisi
 
Miaka zaidi ya 50 baada ya Uhuru Afrika bado inalia lia. Bado inalaumu ukoloni kana kwamba mataifa mengine hayakuwah kutawaliwa. Bado tuna story za how europe underdeveloped africa.hii ni story ya kutupa faraja tu. Ninyi mnakuja kutawaliwa na watu 20 -3000 mpo 3,000,000 mna akili kweli? Ninyi mnawauza wenzenu kwa tende na halua au shanga ninyi mna akil kweli? Leo miaka zaidi ya 100 bado ni watumwa katika nchi zenu wenyewe. Kila tatizo mnasema wazungu wazungu. Africa wamevumbua nini? Mauaji ya albino na vikongwe. Marais kugomea madarakani na kila aina ya uovu. Wananchi wakiamua kuingia vitani mnasema wazungu. Kila taifa lipo kimaslah.binadam in nature ni greedy. Waarab hawa si ndo wanapeleka wanyama kwao? Au wao ni Watu wema?hawa nao si wanafadhiri makundi haram ya kuua?wachina so ndo wanaua wananch wetu huko maeneo ya kazi na kuwadhalilisha?si ndo hawa wanaingia nasi mikataba ya kinyonyaji?wahindi?wanani? Watanzania si ndo hawa wa epa,iptl,escrow hawa si ni watanzania? Uoga,majungu,unafiki ndo nguzo kuu za waafrika.
Lawama na uongo uongo ndo sera za waafrika. Sisi tuna matatizo si kidogo sema tumepata watu wa kuwasingizia. Mugabe aitishe uchaguz huru na wa haki aone kama ni wazungu wanaoenda kumchagua mpinzan wake au wazimbabwe wenyewe. Miafrika ni milizi na milalamishi tu.
 
Hii ni myth mi siamini kama kila tukio bovu basi chief architect ni US.. mfano issue ya Libya unaachaje kuwalaumu walibya wenyewe unalaumu Marekani. We should stop this kind of thinking kwamba kila kitu Marekani anaamua.
Libya color revolution ilifanywa kwa msaada mkubwa wa shirika la kijasusi lá USA...,CIA
 
unachukulia mambo kirahisi rahisi
Nimeiandika kirahisi ili kila mtu aelewe. Magufuli akiamua kuwa naive marais wa hayo mataifa makubwa wakapishana angani yeye akaona sifa, matokeo yake tutazidi kuyaona. Mabepari wanajiangalia wao wenyewe na maslahi yao, awe mmarekani, mchina, au hata huyo mVietnamese.

Na najua mmarekani anajiona yeye peke yake ni 'responsible' enough kumiliki hizo silaha kubwa kubwa, wakimiliki wengine utaona anavyo haha.
 
Hii ni myth mi siamini kama kila tukio bovu basi chief architect ni US.. mfano issue ya Libya unaachaje kuwalaumu walibya wenyewe unalaumu Marekani. We should stop this kind of thinking kwamba kila kitu Marekani anaamua.
kunyamaza ni bora zaidi kama hujui kitu.
 
Obama alivyoingia marekani alikuta nchi kadhaa zipo kwenye lists ya kupigwa na marekani. Obama akaja na idea ya kuwekeza billions kwa activists kwa jina la Arab spring ili kupunguza madhara ya vita amabapo alifanikiwa kuwa kuvunja kabisa zile nchi zile ambazo zilikuwa kwenye list na kubakia nchi kadhaa ambazo mpaka leo zipo kwenye vikwazo vya kiuchumi.

Sasa hatujui next move ya Marekani
Haya mambo sometimes tuwe tunafikiria baada ya kupata story za bar za kupitisha wakati.

Imagine, kweli kuna mtu anaamini Tunisia, Egypt au Bahrain walikuwa kwenye list!! What a joke!!
 
Tanzania sio kisiwa. Wakinusa fursa lazima waichangamkie. Inabidi Magufuli awe mjanja kweli. Ikibidi atengeneze kibomu cha nuclear, wasitubabaishe. Uranium si tunayo yakutosha. Mwenzake walimkumbatia akafikiri wanampenda. Awe mwangalifu mpaka na hao wa Vietnamese.
Utengeneze nuclear umeme wenyewe magumashi!
 
ila mbwa zimekuja bandarini tangu mwaka jana mwez wa 7 kma sikosei......
na kaz kubwa ni kulinda nyara kma pembe za ndovu baada yavita hiyo kutushinda........
 
mkuu nipe udadavuz wa hili,...walikuja kinyemela???????hao masenator????????
Hawawezi kuja kinyemela, wamekuwa wakikaribishwa, lakini inaonekana kuwa huyu anayefanya kazi pale jengo jeupe kwa sasa, hajatoa ushirikiano kwao. Anayeishi ndani ya jengo jeupe kwa sasa, anavaa beji ya ramani ya afrika kwenye suti zake, ni mzalendo asiyepapatikia umarekani au uzungu mwingine.
 
kunyamaza ni bora zaidi kama hujui kitu.
We uliyeandika unajua nini? si bora na wewe ungekaa kimya. Kama unaona sijui kitu ungenionesha kwa hoja kwamba sijui na sio kuninyima uhuru wa kuandika. Unaninyima uhuru wa kutoa maoni??? Who are you brother????
 
Libya color revolution ilifanywa kwa msaada mkubwa wa shirika la kijasusi lá USA...,CIA
Inawezekana walihusika hao CIA. CIA wapo every where ila mimi msimamo wangu ni kwamba ni walibya wenyewe ndio waliangusha nchi yao. Hao CIA wangekuwa peke yao wasingeweza kufanya chochote...
 
Back
Top Bottom