Wizara ya Mambo ya Ndani itunge sheria kali kuwabana Bodaboda

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Oct 21, 2021
4,730
11,082
Bodaboda wamekuwa ni kero. wanajifanya wamekata tamaa ya kuishi wanajifanya ni machizi fresh, wavuta bangi mbichi.

Ni wao tu ndio wanaopitia maisha magumu Sana hapa nchini Hawataki kabisa kufuata sheria za usalama barabarani ni Juzi tu nusura bodaboda anigonge na pikipiki nilipokuwa nikimvusha mwanafunzi kwenye mataa ya kiruvya kwa komba Kibaha, na bila aibu aliondoka huku akinionyesha kidole cha katikati sijui alimaanisha nini.

Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani kitengo cha Usalama Barabarani, tunaomba sana zitungwe sheria kali za usalama barabarani ili kuwabana hawa watu, wamekuwa ni kero Sana wanasababisha ajali na kukimbia.
 
Mbinu ya kupunguza ajali za boda boda ni kuweka kodi kubwa kwenye pikipiki . Kuingiza pikipiki kuwekewe kodi kubwa piki piki iuzwe kwanzia million tano na kuendelea . Ili anayekiendesha awe na adabu . Alafu washushe kodi kwenye bajaji. Hapo mambo yatakaa poa

Mkuu fikilisha kichwa chako vizuri isije ukawa unataka kutatua tatizo kwa kuongeza tatizo
 
Bodaboda wamekuwa ni kero. wanajifanya wamekata tamaa ya kuishi wanajifanya ni machizi fresh, wavuta bangi mbichi.

Ni wao tu ndio wanaopitia maisha magumu Sana hapa nchini Hawataki kabisa kufuata sheria za usalama barabarani ni Juzi tu nusura bodaboda anigonge na pikipiki nilipokuwa nikimvusha mwanafunzi kwenye mataa ya kiruvya kwa komba Kibaha, na bila aibu aliondoka huku akinionyesha kidole cha katikati sijui alimaanisha nini.

Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani kitengo cha Usalama Barabarani, tunaomba sana zitungwe sheria kali za usalama barabarani ili kuwabana hawa watu, wamekuwa ni kero Sana wanasababisha ajali na kukimbia.
Hata wakiwatungia sheria hawakamatiki wakifanya makosa labda wapigwe risasi
 
Mbinu ya kupunguza ajali za boda boda ni kuweka kodi kubwa kwenye pikipiki . Kuingiza pikipiki kuwekewe kodi kubwa piki piki iuzwe kwanzia million tano na kuendelea . Ili anayekiendesha awe na adabu . Alafu washushe kodi kwenye bajaji. Hapo mambo yatakaa poa
hivi unawajua vizuri waendesha bajaji...? kwa ufupi dereva wa Bodaboda na bajaji hawana tofauti kabisa....!​
 
Back
Top Bottom