samtz1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 1,197
- 1,372
Aache uongo lugha yenyewe kwenye koran ni utata ataipendaje au kwa kuikalia tu... pengine hajasoma yaliyoandikwa humo na kuelekeza kutenda kama yalivyoandikwa... kwanza avae baibui na afunike sura yote abakize macho tu... kuna habari za ukweli na za uongo na habari hii ni ya uongo au ya waongo...
Koran mchezo mumewe amletee wake watatu home mziki utaanza hapo hapo na akiambiwa ni koran hiyo ndio imeagiza atakuambia i was not serious kudadeki... au akiambiwa kaue watu kwa bomu utaenda peponi na kupewa mabikra 70 khah
Sio kila kitu cha kukcomment vingne viache vipite