Wamarekani hawa

Wamarekani hawa

Aache uongo lugha yenyewe kwenye koran ni utata ataipendaje au kwa kuikalia tu... pengine hajasoma yaliyoandikwa humo na kuelekeza kutenda kama yalivyoandikwa... kwanza avae baibui na afunike sura yote abakize macho tu... kuna habari za ukweli na za uongo na habari hii ni ya uongo au ya waongo...

Koran mchezo mumewe amletee wake watatu home mziki utaanza hapo hapo na akiambiwa ni koran hiyo ndio imeagiza atakuambia i was not serious kudadeki... au akiambiwa kaue watu kwa bomu utaenda peponi na kupewa mabikra 70 khah
 
Aache uongo lugha yenyewe kwenye koran ni utata ataipendaje au kwa kuikalia tu... pengine hajasoma yaliyoandikwa humo na kuelekeza kutenda kama yalivyoandikwa... kwanza avae baibui na afunike sura yote abakize macho tu... kuna habari za ukweli na za uongo na habari hii ni ya uongo au ya waongo...

Koran mchezo mumewe amletee wake watatu home mziki utaanza hapo hapo na akiambiwa ni koran hiyo ndio imeagiza atakuambia i was not serious kudadeki... au akiambiwa kaue watu kwa bomu utaenda peponi na kupewa mabikra 70 khah
Mkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo- 1- unaposema lugha yenyewe kwenye Qur'ani ni utata unamaanisha nini
2- Hapo kwenye kuvaa baibui na kufunika sura yote unakusudia kutufikishia ujumbe gani?????
3- Hapo kwenye kuletewa wake watatu,naomba andiko na maelekezo aliyopewa huyo mwanaume wa kuoa mwanamke zaidi ya mmoja
4 - Akiambiwa akaue na nani ?????????????? kwasababu gani ?????????? aliwakosea nini ???????? na unipe andiko na ufafanuzi wa andiko hilo lilikusudia nini ( kumbuka kila andiko la qur'an lina ufafanuzi wake wa nini kilikusudiwa kutolewa kwa hilo andiko)
Naomba majibu ya hayo maswali.
 
12366332_1507024229594091_7170195170327429552_n.jpg


i'm muslim and i love the bible.............

mungu ndio nini nyinyi?anapatikana wapi?acheni kuamini vitu ambavyo havipo.
 
Kiongozi Ahsante sana kwa kuweka mambo sawa.

Hakuna lugha ya Quraan.

Kwa kweli huwezi kuielewa Quraan kama hujawahi/hukuwahi kupata au kwa lugha nyingine naweza sema kupitia mafundisho yake.

Mimi naona mambo kama haya usibishane na mtu ambae hana uelewa wowote kuhusiana na Quraan vinginevyo inakuwa kama unampigia mbuzi gitaa, hawezi/hawawezi kukuelewa.

Cha kufanya wewe toa darsa kiasi kisha acha, usiendelee kuepuka kuvutana kimabishano


Mkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo- 1- unaposema lugha yenyewe kwenye Qur'ani ni utata unamaanisha nini
2- Hapo kwenye kuvaa baibui na kufunika sura yote unakusudia kutufikishia ujumbe gani?????
3- Hapo kwenye kuletewa wake watatu,naomba andiko na maelekezo aliyopewa huyo mwanaume wa kuoa mwanamke zaidi ya mmoja
4 - Akiambiwa akaue na nani ?????????????? kwasababu gani ?????????? aliwakosea nini ???????? na unipe andiko na ufafanuzi wa andiko hilo lilikusudia nini ( kumbuka kila andiko la qur'an lina ufafanuzi wake wa nini kilikusudiwa kutolewa kwa hilo andiko)
Naomba majibu ya hayo maswali.

mungu ndio nini nyinyi?anapatikana wapi?acheni kuamini vitu ambavyo havipo.
Kama wewe huamini, nyamaza kimya huitaji kuleta ubishani ambao hauna msingi na si wa ulazima, na ukumbuke hakuna aliekulazimisha.

Mtu amejivunia Uislam wake na vilevile anajivunia kukipenda kitabu kitakatafu cha Biblia, kitu ambacho hakuna kosa alofanya. Sasa sijui wewe kimekuuma nini mpaka kufikia hayo yote!

Waache wanaomuabudu Mwenyezi Mungu waendelee kumuabudu na wewe endelea na kutomuabudu, hakuna tatizo, maisha si kulazimishana
 
Mkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo- 1- unaposema lugha yenyewe kwenye Qur'ani ni utata unamaanisha nini
2- Hapo kwenye kuvaa baibui na kufunika sura yote unakusudia kutufikishia ujumbe gani?????
3- Hapo kwenye kuletewa wake watatu,naomba andiko na maelekezo aliyopewa huyo mwanaume wa kuoa mwanamke zaidi ya mmoja
4 - Akiambiwa akaue na nani ?????????????? kwasababu gani ?????????? aliwakosea nini ???????? na unipe andiko na ufafanuzi wa andiko hilo lilikusudia nini ( kumbuka kila andiko la qur'an lina ufafanuzi wake wa nini kilikusudiwa kutolewa kwa hilo andiko)
Naomba majibu ya hayo maswali.

1.Lugha ya Koran ni Arabic na Allah ndio Lugha pekee anayoiamini Hata Ukiingia Misikitini ni Same Language ina apply iwe Adhana whatever na hilo halina Ubishi so Mmarekani na English yake wapi na wapi!

2. Kuvaa Buibui na kufunika Uso hilo ni Sharti la kilazima kwa Mwanamke wa Kiislam na kama hufahamu pole huyo Mmarekani kama anapenda Koran basi ni sawa na kupenda Boga penda na janai lake hivyo kama ni ukweli anapenda Koran basi afuate ya koran kama sio alikuwa anazuga tu... Ndio Maana yake.

3.Akiambiwa akaaue ndio Koran imeandika Allah atetewe hata ikibidi kuua na hili halina cha kuuliza mifano lipo Wazi hata dogo aliyekojolea Koran walitaka kumuua huko Mbagala imagine ni Watoto walikuwa wanabishana kuwa akiikojolea atageuka mnyama dogo akaikojolea sasa dogo muislam alipoona yule Dogo Mkristo hajageuka kama alivyofundishwa akaenda kusema kwao ndipo mtafaruku wa kutaka kumuua Dogo mkristo ukawa mkubwa Makanisa Yakachomwa Moto Allah huyo aliyeandika Kitabu akawa anatetewa Mahojiano kwenye TV yaani full Vichekesho...
Uislamu Na Shari'ah Zake

Imekusanywa Na: ‘Uthmaan Beecher

Imefasiriwa Na: Abu Suhayl

Shukrani njema zinamstahili Allaah, rahmah na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad, na aali zake na maswahaba zake na Waislamu wote. Ama baada ya hayo

Hakuna Muislamu ambaye anaweza kukubaliana na kutukanwa, kudhalilishwa, kudhauruliwa na kusingiziwa mambo mabaya Mtume wetu mpendwa (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Ma-Imaam wa Ahlus-Sunnah kama Imam Maalik, al-Layth, Ahmad, na Ash-Shaafi'iy, wamekubaliana kwa pamoja kwamba yeyote atakayemvunjia heshima, kumtukana au kumdhalilisha au kumtia ila Mtume wetu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) atakuwa amekufuru, na adhabu inayomstahili kwa yule anayeishi katika dola ya Kiislamu na akafanya hivyo ni kifo, adhabu ambayo itakuwa katika mikono ya mtawala wa Kiislamu.
 
Huyo Demu angesema yeye ni Christian but anawapenda Waarabu na waislam lakini Sio Qoran... aache kuzuga kupenda vitu visivyopendeka kwa dini zingine
 
wasio kuwa waislam ni wazito kujifunza Quraan,ni nadra sana kumkuta mkristo anasoma Quraan,ajifunze kuna nini humo ndani,wengi wamepandikizwa kua hicho kitabu kina majini.ila kwa waislam biblia tunasoma tusiwa na imani za kufata mkumbo.

So tuwe na utamaduni wa kusoma tuwe na uwelewa wa mambo

Mkristo anayesoma na kusilimu anabadilika na kuwa na vituko vya mabomu zaidi hata ya waislamu wenyewe. Kisa kama kile cha jihad John. Sijui majini gani huwa yanawaingia hao wanaoslimu.
 
1.Lugha ya Koran ni Arabic na Allah ndio Lugha pekee anayoiamini Hata Ukiingia Misikitini ni Same Language ina apply iwe Adhana whatever na hilo halina Ubishi so Mmarekani na English yake wapi na wapi!

2. Kuvaa Buibui na kufunika Uso hilo ni Sharti la kilazima kwa Mwanamke wa Kiislam na kama hufahamu pole huyo Mmarekani kama anapenda Koran basi ni sawa na kupenda Boga penda na janai lake hivyo kama ni ukweli anapenda Koran basi afuate ya koran kama sio alikuwa anazuga tu... Ndio Maana yake.

3.Akiambiwa akaaue ndio Koran imeandika Allah atetewe hata ikibidi kuua na hili halina cha kuuliza mifano lipo Wazi hata dogo aliyekojolea Koran walitaka kumuua huko Mbagala imagine ni Watoto walikuwa wanabishana kuwa akiikojolea atageuka mnyama dogo akaikojolea sasa dogo muislam alipoona yule Dogo Mkristo hajageuka kama alivyofundishwa akaenda kusema kwao ndipo mtafaruku wa kutaka kumuua Dogo mkristo ukawa mkubwa Makanisa Yakachomwa Moto Allah huyo aliyeandika Kitabu akawa anatetewa Mahojiano kwenye TV yaani full Vichekesho...
Uislamu Na Shari'ah Zake

Imekusanywa Na: ‘Uthmaan Beecher

Imefasiriwa Na: Abu Suhayl

Shukrani njema zinamstahili Allaah, rahmah na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad, na aali zake na maswahaba zake na Waislamu wote. Ama baada ya hayo

Hakuna Muislamu ambaye anaweza kukubaliana na kutukanwa, kudhalilishwa, kudhauruliwa na kusingiziwa mambo mabaya Mtume wetu mpendwa (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Ma-Imaam wa Ahlus-Sunnah kama Imam Maalik, al-Layth, Ahmad, na Ash-Shaafi'iy, wamekubaliana kwa pamoja kwamba yeyote atakayemvunjia heshima, kumtukana au kumdhalilisha au kumtia ila Mtume wetu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) atakuwa amekufuru, na adhabu inayomstahili kwa yule anayeishi katika dola ya Kiislamu na akafanya hivyo ni kifo, adhabu ambayo itakuwa katika mikono ya mtawala wa Kiislamu.
Maswali yangu na majibu yako ni tofauti sana,ila nikuache maana nikiendelea kukuuliza kwa haya uliyokosea nitazidi kukuhalalishia kuzidi kunitofautishia majibu ya maswali yangu na imenijengea picha ya mtu aliyenijibu anakiwango gani cha uelewa wa dini zote 2 kuwa ni mdogo mno na ni mtu anayevisoma vinavyofurahisha masikio yake lakini hasomi vinavyochukiza masikio yake.
 
Kukosa hizi dini na imani zenu za kinaafiki tungekuwa tunaishi kwa amani na upendo kwenye dunia yenye afya njema. Ona sasa mnaibomoa dunia yenyewe tunayoishi kisa imani zenu za kidini. Bure kabisa...
 
1390616702918272.jpg

wasio kuwa waislam ni wazito kujifunza Quraan,ni nadra sana kumkuta mkristo anasoma Quraan,ajifunze kuna nini humo ndani,wengi wamepandikizwa kua hicho kitabu kina majini.ila kwa waislam biblia tunasoma tusiwa na imani za kufata mkumbo.

So tuwe na utamaduni wa kusoma tuwe na uwelewa wa mambo

Kukosa hizi dini na imani zenu za kinaafiki tungekuwa tunaishi kwa amani na upendo kwenye dunia yenye afya njema. Ona sasa mnaibomoa dunia yenyewe tunayoishi kisa imani zenu za kidini. Bure kabisa...
Amani gani wewe!

Tatizo ni kwamba mnapandikizwa chuki na propaganda nyingi sana ili kutuchafulia Uislam wetu, lakini kwa kuwa sisi ni waerevu wala hatuna shaka, tunawaangalia tu.

Basi hizi Dini unazozidharau ndizo zinazosaidia sana kwa mtu mwenye Imani yake.

Dini zinatufundisha unyenyekevu, kutodhulumu, kutoiba, kutokuua, kutofanya Zinaa na mambo mengine mengi sana ambayo sihitaji kuyahorodhesha hapa.

Nijuavyo mimi Dini zetu uwe Muislam au uwe Mkristo (naomba nilenge hizi Dini mbili kwanza) zinatufundisha Amani, Upendo na Kupendana kwa ujumla.

Mimi nimezaliwa kutoka kwenye community ambayo Muislam na Mkristo ni ndugu Msiba wa Muislam, Mkristo atahudhuria na msiba wa Mkristo, Muislam atahudhuria, na si kwa ajili ya matatizo tu hata sherehe. Na maisha yetu ya Uswahilini ndivyo yalivyo, sasa sijui wewe sio Mtanzania!

Mimi hapa unaeniona ni Muislam halisi, lakini huwezi amini nimeshaingia Kanisani mara nyingi sana ikiwemo kufanyiwa maombi kabla ya kufanya Mitihan(pepa), nimeshaingia Kanisani kwa ajili ya kupoteza mshikaji/washikaji wa karibu, siku tunayoenda kuzika tunaingia Kanisani yanafanyika maombi yote tunapiga magoti tunarudi kukaa kisha tunapiga tena magoti mpaka tunamaliza tunatoka na mwili kuelekea makaburini kwenda kuzika. Kitu ambacho sijawahi kufanya nikiwa Kanisani pale kwenye kupanga mstari kisha mnalishwa sijui kitu gani na Mzungu, ile sijawahi ila mambo mengine yote nimeshawahi.

Na kwa kukuongozea nishaingia Kanisani siku za Jumapili Misa tofauti tofauti, na hii yote sababu ya walimbwende, kuna baadhi ya warembo wakati mnapokuwa kwenye uhusiano wanapenda kampani "kama vipi kesho nikupitie twende Kanisani" mimi huwa sikataagi huwa najibu "wala usihofu Mamaa niambie saa ngapi niwe tayari", na kweli siku inayofuata tunaenda wote Kanisani.

Mimi nimezaliwa kutoka kwenye community ambayo Muislam na Mkristo ni ndugu Msiba wa Muislam Mkristo atahudhuria na msiba wa Mkristo Muislam atahudhuria, na maisha yetu ya Uswahilini ndivyo yalivyo, sasa sijui wewe sio Mtanzania!

Kwahiyo sioni cha ajabu mimi naona mambo mengi yanafanana, njia inaweza kuwa tofauti lakini tunapoelekea ndio huko huko, ya mbele tunamuachia Mwenyezi Mungu
 
1390616702918272.jpg




Amani gani wewe!

Tatizo ni kwamba mnapandikizwa chuki na propaganda nyingi sana ili kutuchafulia Uislam wetu, lakini kwa kuwa sisi ni waerevu wala hatuna shaka, tunawaangalia tu.

Basi hizi Dini unazozidharau ndizo zinazosaidia sana kwa mtu mwenye Imani yake.

Dini zinatufundisha unyenyekevu, kutodhulumu, kutoiba, kutokuua, kutofanya Zinaa na mambo mengine mengi sana ambayo sihitaji kuyahorodhesha hapa.

Nijuavyo mimi Dini zetu uwe Muislam au uwe Mkristo (naomba nilenge hizi Dini mbili kwanza) zinatufundisha Amani, Upendo na Kupendana kwa ujumla.

Mimi nimezaliwa kutoka kwenye community ambayo Muislam na Mkristo ni ndugu Msiba wa Muislam, Mkristo atahudhuria na msiba wa Mkristo, Muislam atahudhuria, na si kwa ajili ya matatizo tu hata sherehe. Na maisha yetu ya Uswahilini ndivyo yalivyo, sasa sijui wewe sio Mtanzania!

Mimi hapa unaeniona ni Muislam halisi, lakini huwezi amini nimeshaingia Kanisani mara nyingi sana ikiwemo kufanyiwa maombi kabla ya kufanya Mitihan(pepa), nimeshaingia Kanisani kwa ajili ya kupoteza mshikaji/washikaji wa karibu, siku tunayoenda kuzika tunaingia Kanisani yanafanyika maombi yote tunapiga magoti tunarudi kukaa kisha tunapiga tena magoti mpaka tunamaliza tunatoka na mwili kuelekea makaburini kwenda kuzika. Kitu ambacho sijawahi kufanya nikiwa Kanisani pale kwenye kupanga mstari kisha mnalishwa sijui kitu gani na Mzungu, ile sijawahi ila mambo mengine yote nimeshawahi.

Na kwa kukuongozea nishaingia Kanisani siku za Jumapili Misa tofauti tofauti, na hii yote sababu ya walimbwende, kuna baadhi ya warembo wakati mnapokuwa kwenye uhusiano wanapenda kampani "kama vipi kesho nikupitie twende Kanisani" mimi huwa sikataagi huwa najibu "wala usihofu Mamaa niambie saa ngapi niwe tayari", na kweli siku inayofuata tunaenda wote Kanisani.

Mimi nimezaliwa kutoka kwenye community ambayo Muislam na Mkristo ni ndugu Msiba wa Muislam Mkristo atahudhuria na msiba wa Mkristo Muislam atahudhuria, na maisha yetu ya Uswahilini ndivyo yalivyo, sasa sijui wewe sio Mtanzania!

Kwahiyo sioni cha ajabu mimi naona mambo mengi yanafanana, njia inaweza kuwa tofauti lakini tunapoelekea ndio huko huko, ya mbele tunamuachia Mwenyezi Mungu

Lakini Fahamu Muislam si Ndugu zako Muislam atakuita kafr hadi Kiama Chake.... na ana chuki kwa wewe usiye Muislam ndivyo wanavyofundishwa... mtaelewana kama kuna maslai kwake na si vinginevyo.... hili lipo wazi...
 
Mimi bado Allah na mungu wananichanganya ukisoma quran Kuna wakati inaonyesha ni wawili tofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom