Ukitaka kumkomesha vizuri nenda na kidume kilichokomaa sura kisha umtambulishe kwa maza kuwa huyo ni mumeo.
Huyo Maza hatakusumbua tena milele na milele amina..
ndio hako ulikojibania kwapani .mbona unakua mbakaji dogonina hakika huyu kamaliza chuo juzi na kapata dem juzi ambaye alikuwa anasoma nae ila kwa mara ya kwanza katika maisha yake kawa na dem....na nina hakika pia toka azaliwe ana christmas ambazo hazizidi nne katika maisha yake akiwa katika miji(mjini)...
ndio hako ulikojibania kwapani .mbona unakua mbakaji dogo
mmasai unajua na dogo sasa hivi hahahaaa wenzio wako msituni umekimbilia huku.tutakurudisha kwa wahazabe ukale tena nyama mbichi na matunda tulia wewe
you man with autism..
stop involving me in ur idiotic argument..
nimesema sita quote tena then stop saying my name
ndio maana unapotoa post unatakiwa ujipange vizuri ili watu wakuelewe vizuri mkuu wepsonndio nashangaa jama yangu kiwatengu anazungumzia udsm wakati nilikua nikipita ndani ya gari jf watu hata kuelewa shida sijui ni upload oudio
MM NATUMIA APPLE IPAD 2 nashindwa Fanya settings Fulani NDIO MAANA NATUMIA HERUFI KUBWA NIKIANDIKA NDOGO MWISHO WA SIKU INA BADILIBHERUSI ZOTE NA KUFANYA SENTENSI KUWAIT HAIELEWEKI ILA NIKIWEKA HERUFI KUBWA INATULIA NDO MAANA NATUMIA HERUFI KUBWANdo Wewe unasoma computer Ucc??? Mwandiko wako mbaya...