Wamama watu wazima mtatumaliza

Wamama watu wazima mtatumaliza

Wewe ni duwanzi.. Kwa uandishi huu eti pharmacist... Acha mboyoyo mzee kutunga story nako kipaji.. Sasa kama sio uongo hapo UDSM inahusikaje? Kuandika kwenyewe kwa herufi kubwa.. Acha ubwege mkuu..karibu lakini MMU
 
NAJENGA TAIFA MKUU NILIMALIZA MHIMBILI MIAKA 3 iliyo pita
 
Pumb.vu,andika vizuri pia ukome kuleta herufi kubwa humu sawa.
 
Wewe ni duwanzi.. Kwa uandishi huu eti pharmacist... Acha mboyoyo mzee kutunga story nako kipaji.. Sasa kama sio uongo hapo UDSM inahusikaje? Kuandika kwenyewe kwa herufi kubwa.. Acha ubwege mkuu..karibu lakini MMU

Acheni hizo kwani UDSM wanaofika ni wanachuo tu? amesema alikuwa anatokea UDSM wakawa wamekaa karibu sasa hapo shida nini
 
NAJENGA TAIFA MKUU NILIMALIZA MHIMBILI MIAKA 3 iliyo pita

MHIMBILI ndiyo chuo gani?

miaka mitatu unafanya kazi halafu unatafuta mchumba online?
what wrong with you?
domo zege!!
huna hela!!
au nini shida jamaa..
 
mwongo origin from expmaishayasasa upatejimama uliache si mwehu we wee press us za hawa vi gf lo
unajua mtu kama ww pididy sijui p.dushe hali yako ya kimaisha kwanza najua yakuotea otea tu.kitengo ninacho fanyia mm ni rahisi hata nikimpata mchumba jf hapa awe tayari kupima vvu sasa we pididy si unavundikaga dushe lakota tu.hapa ninaposema sema ungekwisha kama umekomaa kiakiri huta niuliza
 
Acheni hizo kwani UDSM wanaofika ni wanachuo tu? amesema alikuwa anatokea UDSM wakawa wamekaa karibu sasa hapo shida nini

Kwa hy hapo UDSM alienda kufanya nn hasa... Kununua bamia au?? Acheni kutetea ungese huyu anatafuta kiki tu hapa..
 
Kikulacho tikampime ubongo huyu ayukoserious
 
mhimbili ndiyo chuo gani?

Miaka mitatu unafanya kazi halafu unatafuta mchumba online?
What wrong with you?
Domo zege!!
Huna hela!!
Au nini shida jamaa..


unadhani kutongoza online domo zege hahahaaa. Mkuu mbona kubwa jinga hivo unadhani ni ukitongoza onlne hamtakutana na huyo dem au unaweza tu kutata.mhimbili ni chuo cha afya nchini tanzania najua kwa levo yako nimekutosheleza
 
Ukitaka kumkomesha vizuri nenda na kidume kilichokomaa sura kisha umtambulishe kwa maza kuwa huyo ni mumeo.

Huyo Maza hatakusumbua tena milele na milele amina..
 
unadhani kutongoza online domo zege hahahaaa. Mkuu mbona kubwa jinga hivo unadhani ni ukitongoza onlne hamtakutana na huyo dem au unaweza tu kutata.mhimbili ni chuo cha afya nchini tanzania najua kwa levo yako nimekutosheleza

haya mkubwa!!
nisibishane sana na wewe na mimi nikaonekana
zuzu.
Endelea kutafuta warembo, na kwa style hii utapata wa type yako.

ni Muhimbili au Mhimbili?
 
ukitaka kumkomesha vizuri nenda na kidume kilichokomaa sura kisha umtambulishe kwa maza kuwa huyo ni mumeo.

Huyo maza hatakusumbua tena milele na milele amina..

twende na ww nitamtambulisha mama ww kama dem wangu unaonaje dogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom