wepson
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 831
- 219
kuna jamaa maeneo fulani kwenye gari kavaa mgorole kama wako huo alitaka kuniibia sim leo teh teh dahldahl
YAKO mi sio mama sukari siwez kukunulia gari endelea kusimama kwenye daladala
kuna jamaa maeneo fulani kwenye gari kavaa mgorole kama wako huo alitaka kuniibia sim leo teh teh dahldahl
daa HIVI SIKU HIZI MASAI MNAJUA KUANDIKA NA KUSOMA AU NDO KUJIPAKA MACREAM YA MAZIWA MNANUKA KAMA MABEBERU
MKUU MANKACHARA JF KUNA WATU NI WAPOKAJI SANA .ANAWEZA ONGEA ANACHOTAKA NA KUTAKA WATU WAMUONE WA MAANA PILI KUNA WATU WANAJIFANYA WAMELIZOEA SANA JUKWAA KIASI KWAMBA WANADHANINMAWAZO YAO NI YA MSINGI SANA NA NIKAULI ZA MWISHO WANASAHAU KUNA WATU WANALETA THREAD KAMA NAOMBA MWENYE VIDIO YA NG.ONO, NAOMBA DEM ANAYETAKA KUTOKA NA MM MWAKA MPYA ANI PM, MTU ASASEMA NAIMBA KWAYA NA DEM MMOJA TUKIWA TUNAFUNDISHANA KWAYA GENYE ZINAPANDA WATU NDO WANAFURAHI NA NYUZI KAMA HIZO. HATUWEZI KUJENGANA HIVYO, SASA WAMEACHA POINT YA MSINGI WANASEMA MWANDIKO MBAYA KWANI MI NAANDIKA BARUA KWA PENI AU NYUZI HIZI TUNAZIANDIKA KWA PENI? Tubadilikendio maana unapotoa post unatakiwa ujipange vizuri ili watu wakuelewe vizuri mkuu wepson
UNABISHA USICHOJUA NENDA KWENYE LINDO BWANA UNAJIFANYA KUNIACHA WAPI? Wamasai kuna kazi GANI MNAWEZA ZAIDIMYA YA KUCHAPA VIRUNGU NA KUSIMAMA USIKU KUCHA NA MISHARE KWENYE MAGETI HAPA MJINI HAHAHAAA POLENI NA VIHARUFU VYA MBUZI DUMEnaona unatafuta umaarufu ngoja nikuache ulelewe
wepson,shida iko hapa,kwann unachanganya miandiko hovyo??kwann usiandike kwa utaratibu tuuu mzuri??ina maana hujui hata kuandika??una mantiki nzuri ila sasa namna ya kuiwasilisha ni majanga kwakweli
WE HONEY FAITH NA MWENZIO KIZAIZAI SIJUI NDO MICHEZO YENU? MAANA HUWEZI PINGA KITU AMBACHO HUKUWEPO ,NA ULICHOAMBIA NI USHAURI KAMA HUNAN HUSHAURI PITA TU NENDA.ZAKO HAKUNA ATAKAYE KUULIZA MBONA HUJASEMA MBONA KUNA WATU WAMETOA USHAURI MZURI TU AU KWA KUA NAWEWE NI MZEE WA MIAKA YA 70 NA BADO UN FANYANJE HIVYO UNAONA SAWA MMAMA WW? Kama kimya tafadhari TUNAONGELEA SERIUOS MATTER HAPA SI JAMBO LAKUANZA OO STORY YA KUTUNGA MI SIO MUIGIZAJI NI PHARMACIST BY PROFFESSIONAL LOO!!