Wamama watu wazima mtatumaliza

Wamama watu wazima mtatumaliza

kama unasoma UDSM basi..
hiki chuo hamna kitu tenaaa..

Kwa maandishi hayo Sidhani kama anasoma chuo huyu, bali aliyokea maeneo ya chou kikuu,,,,,by the way awaache wanaojua maana,,, kwa sababu "asiyejua maana haambiwi maana" wape namba wenzio waendelee kujisevia,,,,,
 
Acheni hizo kwani UDSM wanaofika ni wanachuo tu? amesema alikuwa anatokea UDSM wakawa wamekaa karibu sasa hapo shida nini

Ye mwenyewe kathibitisha kuwa alimaliza UDSM 3 yrs ago,,,,,,na herufi zake kubwa ,,,mi huwa inanikera kusoma,,,,
 
mkuu Wepson your thread was doing fine mpaka pale ulipojipa na promo kwamba unatafuta mchumba online
 
Muhimbili shule ya msingi. HataSekondari za kata hukupata nafasi? pole!!!

wewe MWINGINE tena mhimbili university Unadhan Shule ya MSINGI .SIKULAUM SIKU ILE UMEKUJA NA MKONOSWETA PALE TUKAKUREKEBISHA LEO UMEKAA JF NA KONI TAKO UNAPIGA MAYOWE KUSHABIKIA UJINGA. NGOJA URUDI KWA GONJWA LA KULA TIGO HATUKUZIBUI DOGO
 
wewe MWINGINE tena mhimbili university Unadhan Shule ya MSINGI .SIKULAUM SIKU ILE UMEKUJA NA MKONOSWETA PALE TUKAKUREKEBISHA LEO UMEKAA JF NA KONI TAKO UNAPIGA MAYOWE KUSHABIKIA UJINGA. NGOJA URUDI KWA GONJWA LA KULA TIGO HATUKUZIBUI DOGO

Daktari mzima unatukana wagonjwa wako? Hujala kiapo? #flashback
 
Mnazogoa na huyo jamaa wenu mwenye jina linalokaribia kufanana na food enzymes.

american dream Hahahaaa inaonekana umesoma food science SUA unafikiri chakula tuu changing usikike .america huendi hata ufunge na kuomba pale airport
 
Daktari mzima unatukana wagonjwa wako? Hujala kiapo? #flashback


Bora ya ya ww dada Yangu umeongea neno la msingi Watu wa hapa JF hatahawajiheshimu wengi TU WAPO hapa wanatutafuta JF doctors wakiwa na matatizo kama mchanga wana kaswende kisonono pangusa NA Madudu mengine wakifika hapa mbele za watu wanajifanya wajuajii KAMA nini Na wengine WANAOTAKA ujiuji CHINI huko NA dam zisizo kata wakiwa Hapa jeuri nyingi hatutafika
 
Hebu kajifunze kwanza kuandika vizuri halafu urudi. Uandike thread fupi inayokeweka.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hebu kajifunze kwanza kuandika vizuri halafu urudi. Uandike thread fupi inayokeweka.


Sent from my iPhone using JamiiForums


Unataka uelewe kupitia kasm ka blackberry hako kanunue ipad bila Shaka hili jibu NI fupi
 
Nakereka kusoma andishi za herufi kubwa khaaaa kwan tayar ushapata mpenzi????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom