masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,886
- 13,183
Plan your life, bimbo, plan."ukitaka kujua ubaya wa kifo nenda hospitali" by Dr. Remmy
Iko siku utajua kwa dhati kabisa kuwa hili ni miongoni mwa maswali ya hovyo kabisa umepata kuuliza mbele ya kadamnasi.
Hongera kwa kujaaliwa ukwasi.
Nyie ndi mnazaa watoto mkisema kila mtoto ana riziki yake.
Halafu hata shule ya bure unashindwa kumpeleka kwa kukosa kumnunulia sare.
Ulimzaa wa nini?