IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Ushasema alikuwa na bima..watu wote Tanzania wanahizo bimaAache uongo mimi mke wangu juzijuzi tu kajifungua bure tena kwa bima ya bure wanayopewa na wizara na inadumu kwa mwaka 1
Ushasema alikuwa na bima..watu wote Tanzania wanahizo bimaAache uongo mimi mke wangu juzijuzi tu kajifungua bure tena kwa bima ya bure wanayopewa na wizara na inadumu kwa mwaka 1
Mkuu kama hela ya tu ya kujifungua mtu hajajitayarisha hata baada ya miezi 9, huyo mtoto atamtunzaje?
Au kaizalia serikali?
Hiyo bima anapewa automaticaly anapokwenda kliniki siku ya kwanza na namba yake ya bima inaandikwa kwenye kadi hivyo atapata hufuma za afya bure mpaka mwaka mmoja utakapoishaUshasema alikuwa na bima..watu wote Tanzania wanahizo bima
Hospital kuna huduma za bule na huduma za kulipia,hivyo next time unaweza kuuliza ukapewa ufafanuzi. Nimewahi kufanya kazi hospital hivyo naelewa mambo kadhaa mkuu. Tunakushukuru kwa Moyo wa kizalendo wa kujitolea mkuu.Hapana sikuuliza mkuu, ila kwa wazo la haraka ni kwamba amejifungua mtoto na amezuiliwa kuondoka hadi alipe deni maana yake ni kwamba huduma hiyo haitolewi bure.
Endelea kuzaa bure na utegemee serikali ikuzalishe bure na kukusomeshea bure kajeshi kako ka mgambo.Mkuu siku nyingine usiwe mtu wa kucoment pumbaaa...ilivyokuwa bure alikuwa anatoa kodi kiasi gani ku subsidize hiyo huduma???