Wamama wajawazito kujifungua kwa gharama ya TZS.150,000/ Hospitali za Serikali. Je, Serikali hii inatupeleka Wapi?

Mkuu kama hela ya tu ya kujifungua mtu hajajitayarisha hata baada ya miezi 9, huyo mtoto atamtunzaje?
Au kaizalia serikali?

Fyatueni tu kama vile hamna akili nzuri.

Kuogopa kuzaa ni uvivu na umaskini.

Rudisheni tu na michango kwenye elimu maana elimu yetu inakwenda ndivyo sivyo.

Hakuna bure kwa dunia ya leo wandugu...tuisaidie serikali kutekeleza majukumu yake
 
Nadhani ingekuwa vyema ukaleta na ushahidi kwa hili.
Personally, last year mama watoto wangu alienda Kujifungulia kijijini kwetu Mkoani Kagera.
Hakutozwa pesa yeyote & plus alikwenda na Delivery Kit binafsi.
Walitumia items zao na kurudisha vyake.
 
Kama Kichwa cha Habari Kinavyojieleza!

Kama nakumbuka sawa Kujifungua Wamama Waja Wazito ilikuwa bure kabisa, lakini mambo yamebadilika Wandugu sasa hivi kwa Kujifungua kwa Njia ya Kawaida ni TZS.150,000/- na Kwa njia ya Upasuaji ni TZS.300,000/-. Naiona kasi kubwa ya kurudi kujifungulia akina mama kwa Wakunga ama Majumbani.

Bila shaka ndiyo Utekelezaji wa Serikali ya Wanyonge hii!

Tuendelee kufurahia Utawala wa awamu ya 5!

Ushahidi, Ndugu yangu Katoa pesa kiasi hicho wakati anajifungua.

Eeh Mfalme wetu Uishi milele!
Nahisi huo ni mchongo wa madokta na manesi kujipatia fedha kijanja.

Nachojua Mimi ni wajawazito kujifungua ni bure hakuna gharama yoyote.

Mimi tarehe 27/12/2019 nilimpeleka shemeji yangu Hosp ya mkoa Dodoma (general hosp) alijifungua kwa operation.mpaka siku anaruhusiwa kurudi nyumbani, sikutotwa Pesa yoyote.tuliruhusiwa kuondoka bila hata kudaiwa Pesa yoyote.
Ndo maana nashangaa wewe kutozwa hela
 
Habari ni ya kweli, na gharama saizi zipo. Hili nalo ni bomu serikali imetega na nahisi ni trick pia ili baada ya watu kulia lia sana baadaye mkuu aje kutangaza kushusha gharama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi huo ni mchongo wa madokta na manesi kujipatia fedha kijanja.

Nachojua Mimi ni wajawazito kujifungua ni bure hakuna gharama yoyote.

Mimi tarehe 27/12/2019 nilimpeleka shemeji yangu Hosp ya mkoa Dodoma (general hosp) alijifungua kwa operation.mpaka siku anaruhusiwa kurudi nyumbani, sikutotwa Pesa yoyote.tuliruhusiwa kuondoka bila hata kudaiwa Pesa yoyote.
Ndo maana nashangaa wewe kutozwa hela
Basi labda huko Dodoma ila huku kwetu na maeneo mengineyo kama walivyochakingia kwenye Uzi huu wana JF wanatoza pesa! Niamini mkuu, siwezi kuandika Uongo, Mimi Mtu Mkubwa Kiumri namzidi hata Jiwe!
 
Nahisi huo ni mchongo wa madokta na manesi kujipatia fedha kijanja.

Nachojua Mimi ni wajawazito kujifungua ni bure hakuna gharama yoyote.

Mimi tarehe 27/12/2019 nilimpeleka shemeji yangu Hosp ya mkoa Dodoma (general hosp) alijifungua kwa operation.mpaka siku anaruhusiwa kurudi nyumbani, sikutotwa Pesa yoyote.tuliruhusiwa kuondoka bila hata kudaiwa Pesa yoyote.
Ndo maana nashangaa wewe kutozwa hela
Rekebisha mwaka mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ameingia mikononi mwa Dr.Mwakasitu wa Amana hospital.maana yule jamaa ni kama amefanya ile hospital binafsi.nasikiaga anaweza kumshauri mjamzito afanye operation hata kama hakuna hatari.ila wale wenye shida halisi wanapigwa danadana.
 
Labda ameingia mikononi mwa Dr.Mwakasitu wa Amana hospital.maana yule jamaa ni kama amefanya ile hospital binafsi.nasikiaga anaweza kumshauri mjamzito afanye operation hata kama hakuna hatari.ila wale wenye shida halisi wanapigwa danadana.
 
Kama Kichwa cha Habari Kinavyojieleza!

Kama nakumbuka sawa Kujifungua Wamama Waja Wazito ilikuwa bure kabisa, lakini mambo yamebadilika Wandugu sasa hivi kwa Kujifungua kwa Njia ya Kawaida ni TZS.150,000/- na Kwa njia ya Upasuaji ni TZS.300,000/-. Naiona kasi kubwa ya kurudi kujifungulia akina mama kwa Wakunga ama Majumbani.

Bila shaka ndiyo Utekelezaji wa Serikali ya Wanyonge hii!

Tuendelee kufurahia Utawala wa awamu ya 5!

Ushahidi, Ndugu yangu Katoa pesa kiasi hicho wakati anajifungua.

Eeh Mfalme wetu Uishi milele!
Ni Upuuzi Mtupu, Na Uchonganishi Dhidi Ya Serikali Ya Mtukukfu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka Jana nimeenda kumchukua wife pale muhimbili hospital kuna mama alikuwa amezuiliwa kuondoka hadi alipe deni, mmewake alikuwa anahangaika kutafuta izo pesa wiki nzima hajapata tu, nakumbuka ilikuwa laki moja na elfu sabini deni kamili.
Nilikuwa nimebakiwa na laki moja mfukoni nikaigawa kati kumwachia yuel mama imsaidie kupunguza deni mana wife alinambia huyo mama alimsaidia sana hasa hasa nyakati za usiku.

Hali zetu zinatofautiana sana, kuna watu hawana kabisa huo uwezo wa kutoa hizo gharama.
Hongera ndugu yangu.

Hakika Mwenyezi Mungu ni wa Rehema.
Hata acha kukuruzuku kwa jambo hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nmepata watoto wawili muhimbili..mwanagu wa kwanza alikia na complications kidogo,alilazikika kulazwa kwenye vyumba vya joto kwa siku nne kwa hali ilivyokuwa ilibidi wife alazwe private..baada ya siku nne bill ilikuja laki 9 na 40 nilisamehewa 40 nikalipa laki tisa..mwanangu wa pili hakukuwa na complication yoyote nililipa laki na arobaini kama alivyosema mleta mada tena hiyo ni miaka miwili iliyopita..
Halafu utakuta kuna mijusi humu inasema mleta mada ni muongo. Waje kukanusha na hii. Ujinga huu na uvivu watz kufikiri na kuzhabikia vyama ndio maana kupiga hatua itakuwa kama msamiati wa Kigiriki.
 
Back
Top Bottom