figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,654
- 59,078
Wagombea ubunge walioshinda 2025, kwenye uchaguzi mkuu Tanzania nilitegemea Washangilie.
Wapo kimya. Walioshinda na walioshindwa nyuso zinafanana.
Au nafsi zinawasuta?
Naoomba mle chakula kwa mikono. Sababu mikono yenu imejaa damu za binadamu. Si ndicho mlitaka?
Uzzuri hakuna Mbunge wa Dar ambaye hajafiwa..
Tunacheza ngoma moja. Mlijua wataksokufa hahawahusu
Wapo kimya. Walioshinda na walioshindwa nyuso zinafanana.
Au nafsi zinawasuta?
Naoomba mle chakula kwa mikono. Sababu mikono yenu imejaa damu za binadamu. Si ndicho mlitaka?
Uzzuri hakuna Mbunge wa Dar ambaye hajafiwa..
Tunacheza ngoma moja. Mlijua wataksokufa hahawahusu