ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 6,078
- 21,977
Kumbe ulikua serious? Isiwe hivyo bhana..Sawa, nipo kuhesabu siku. July sio mbali 😎😎
Kumbe ulikua serious? Isiwe hivyo bhana..Sawa, nipo kuhesabu siku. July sio mbali 😎😎
Vipi wewe ni mwenyeji wa chamakweza? Naweza pata ekari hata 3
Mkuu una matatizo ya akili sio bure. Sasa haya yote yanini kuwatesa wenzako hivi?wateseke tu mtu ninayemuonea huruma ni mama yangu ila nikimuambia nilipo atawambia na ndugu zangu kitu ambacho sitaki.
No jokes, you know me 🔒Kumbe ulikua serious? Isiwe hivyo bhana..
😂Punguza mikwara, leo jumapiliNo jokes, you know me 🔒
Asante sana mkuuPoleni sana mliopotelewa na ndugu
Pakashume wewe mla panya mkubwa😡Binafsi kwenye familia yetu me ndo nilikuwa yule ambae huwa siendi church yani nikienda ni nme vutwa vutwa saana
Sasa iyo siku kulikuwa na maandamano church ya kutembea ka umbali fulani (ekaristi kwa Rc wana ielewa hii siku)
Kwenye ayo maandamano mom alikua ameenda na Mdogo wangu wa mwisho alikua 2 years old sijui ilkuaje ila dogo ni alipotea uko njiani .na wali mtafuta sanaa hadi church waka Tangaza lakini wapi.
Guess what iyo siku kama kawaida yangu sija enda church nipo mtaani natembea na friends ,ghafla jamaa ana nambia uyo mbona kama Mdogo wako .afu dogo na yeye kuniona akaanza kulia uku ana nikimbilia .kumbe baada ya kupotea alkua ame chukuliwa na wamama wana mhoji so nka mchukue dogo tukarudi home ndo kukuta wame changanyikiwa it was a great and sad moment. .. Mwisho story hii niya kutunga.
Pole sana mkuu!Dah.. nimejaribu kuandika stori ya jinsi mama yangu mzazi alivyopotea nimeshindwa kabisa.
🤦🤦🤦🤦🤦😂Punguza mikwara, leo jumapili
Naukumbuka huu uzi.ilikua ni dodoma si et?Kuna jirani yangu ni askari na ni inspekta wa nyota mbili pia alikuwa mkuu wa kituo alipotea tangu Juni 262020 tulipo vunja ndani kwake tukiwa na polisi wenzake tulikuta kaacha Kila kitu chake kuanzia wallet ikiwa na pesa,simu line zote mbili kadi ya benki vyeti vyote vya shule ila mpaka Leo hajulikani aliko.
Zamani nilienda Nairobi na maza, nilikua mdogo kiaina🤦🤦🤦🤦🤦
Nilidhani kiwanja kimepotea mkuuView attachment 2956099
kuna hiki kiwanja hapa kipo... karibia na kitunda, kivule kilomita chache ukiwa unatokea banana.... kina ukubwa wa MITA 25*30 kinahitaji 25m tu...!
urefu wake ni kuanzia hiyo nguzo u nayo iona hadi ile nguzo ya juu kule ya umeme... ukipenda kwenda kukitazama tuwasiliane 0759170794
Haaahaaa popi amefata sukari kwa jiraniMimi niliwahi tu kupotelewa na kipenzi changu mbwa wangu popi nilimtafuta mpaka kwenye mifuko ya suruali suruali kumbe alihamia kwa jike la jirani catherine
Huyo Dingi jinga sana.Kuna jamaa tukiwa wadogo miaka ya 90 alikuwa ndio mtoto wa mwisho kwao kati ya 7. yeye mkubwa kidogo kwetu. Sasa hakuwa na hela kama ndugu zake. Baba yake akamwambia nenda kamuulize mama yako akuonyeshe baba yako. Mimi watoto wangu wana hela. Wazee wa Moshi nyoko zao, yule jamaa wala hakuaga alipotea mazima. Kama Bahati ya Mungu nikaja kumkuta Namibia Windhoek miaka ya 2008 kashaoa na uraia kabadili na ana hela hatari. Akawa mwenyeji wangu hakuna kipind kwenye maisha yangu nikula bata kama Wakati huo. Nilikuja kuwaambia nyumbani kwao nimemuona kijana wao hawakuamin walitoka ndugu zao wanne kumfuata na Baba yao na Jan la sale. Jamaa walivyoonana ni kila mtu kulia baba yake akaomba msamaha mengine code. Long live Masssawe. We ni mtu na nusu nilijifunza sana vitu vingi kwako bro.