Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

1473274129838.jpg
 
Kun mwanangu moja ye alitok skul iz za tec cjui walisom projectile wakt wak o level asa ndo tuna report nn aka ckia kun test ya projectile ye akaenda me nkamwambia joh hat twit hujapg na skul umechelew paper hutochomoa iyoo akasema ohooo mm nmesoma iyo topic o level yan ss watu wa tec bhn raha san topic nmeisom o level na huk nyiny ndo mnaisoma dah me nkamwambia gud bob nend,,,mzee mwamba alikula 10 ya 100 ten izo kumi ticha alimpa kwa ajir ya kukusany data na wino alioutumia,,,,,shabash!! Physics hainag utec
tena kwenye phys kungekuwa hakuna mambo ya definitions na ku state laws ndo kabisaaa, maana calculation muda mwingine zinakujaga zimepinda sana kwa hiyo mwanzo mwisho unajibu definitions na baadhi ya laws
 
Dah huu uzi umenikumbusha ile first day, aliingia mwl wa inorganic chem, wale wa Japan wanaojitolea....mpaka anaondoka darasani sikuelewa chochote!
Bado na yale madude ya kupata 38 ATP kwa Krebbs cycle!!!
 
Mkuu na kuna zile za heat......sana sana ile ya kutumia paraffin yaan umaweza kesha na kuchanganyikiwa
yan mimi kilichokuwa kinanisaidia nilikuwa najua sana ku forge ,ila bila hivyo dah ningekuwa naongea mengine sasa hivi, maana utakuta muda bado kama dakika ishirini bado hujaanza swali la mwisho , bado kufunga vifaa kukusanya data kuandika practical report yaan dah, hapo ndipo umuhimu wa ku forge unapouona
 
Back
Top Bottom