emmaalphonce
Member
- Sep 1, 2016
- 34
- 16
Tulio cheza utotoni tukutane hapa............ndo kinachofwata mada hazieleweki ...all in all majadiliano mema


sawa asante kwa kushiriki, karibu tena ukipendaTulio cheza utotoni tukutane hapa............ndo kinachofwata mada hazieleweki ...all in all majadiliano mema![]()
duuh unazirai kweli si mchezoNilifika tabora boys form five nimetoka zangu shule ya kata nakutana na jamaa ananiambia amepga mpaka organic, unaweza ukazirai.
Au labda wewe ndo unafika upo 5 unawaza topics kama projectile measurement af unakutana na jamaa ana solve topic kama wave au heatNilifika tabora boys form five nimetoka zangu shule ya kata nakutana na jamaa ananiambia amepga mpaka organic, unaweza ukazirai.
Au labda unasoma cytology af unakuta njemba linakomaa na geneticsduuh unazirai kweli si mchezo
Shukuru BRN dogoCBG nipo hapa, mziki kwangu ilikua geography maana kusahau mifano ndio tatizo langu. Ila nashukuru nilitoboa 2015
Ahsante brnShukuru BRN dogo
EwaaaaaaaaaaAhsante brn
Wewe vp ulitoka vp japo haikuwa brn?Ewaaaaaaaaaa
ni typing error kiongozMkuu huwezi kupata mwanafunzi kwa sababu kwanza hujuwi kuandika
Mm nmepga necta ya six enz za jumanne maghembe mdogo wangWewe vp ulitoka vp japo haikuwa brn?