Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

Mzee kweny physics kun kidudu kimoja kinaitwa projectile motion hap hakuna mjanjaaa mm nilikuw nasukuma maswal lkn nlikua cjiamin maan niliumbuk san kun swal lip kweny pam la ally abdala lilinitoa jasho tangia hap nlipunguz moto
 
Mm nina pic za wauni wang wa pcb yan nkikuonyesh utachek ufe maaan mtyu kwenda kulala hatak kaz kulala class maan cjui huw anaofia km atafel,,,so mm nilikua mpga picha za wanaocnzia dalasani
 
Ila kuna kitabu kinaitwa scholarship physics......yaan hiko kitabu cjui nani aliyetunga maana kina maswali hatar........yaan kusoma kwangu koote physics nilikuwa naona vumbi tuu
pia ma pam ya said mgote nayo kakunja baadhi ya topics
 
Mm nina pic za wauni wang wa pcb yan nkikuonyesh utachek ufe maaan mtyu kwenda kulala hatak kaz kulala class maan cjui huw anaofia km atafel,,,so mm nilikua mpga picha za wanaocnzia dalasani
Yaani usinikumbushe kukesha ni jambo la kawaida halafu walivyokonda du hatari tupu
 
mimi kwangu mende na panya ndio niliokuwa nawapenda zaidi af rahisi kuwa dissect ,pia michoro yao ni mi rahisi , mziki kwa chura baba, mara uufunge na kamba mshipa ili usitoe damu , dah ilikuwa ni shida kwa kweli
mkuu kwenye panya hapo ndio palikuwa shida kufunga kile kimshipa........ila kudissect mende ndio ilikuwa tabu hasa ikiwa mara yako ya kwanza
 
1473272947415.jpg
 
Kuna siku nliamk km 9 ucku mwenyew nmevaa nguo za skul fresh nn mzee nmekaa dakik 5 na Bs lang nikaze genetics,,,thubutu ucngz huo kutoka jau maan ndo nmeingia wadau watanicheka maan nmevaa uniform ful dah ilibid nizuge kwa kuach Bs waz na pen kat watu walijua nalid mzee nliend kulal nkaamk saa3 khaaa
 
Kuna siku nliamk km 9 ucku mwenyew nmevaa nguo za skul fresh nn mzee nmekaa dakik 5 na Bs lang nikaze genetics,,,thubutu ucngz huo kutoka jau maan ndo nmeingia wadau watanicheka maan nmevaa uniform ful dah ilibid nizuge kwa kuach Bs waz na pen kat watu walijua nalid mzee nliend kulal nkaamk saa3 khaaa
 
Back
Top Bottom