Mzee kweny physics kun kidudu kimoja kinaitwa projectile motion hap hakuna mjanjaaa mm nilikuw nasukuma maswal lkn nlikua cjiamin maan niliumbuk san kun swal lip kweny pam la ally abdala lilinitoa jasho tangia hap nlipunguz moto

Mzee kweny physics kun kidudu kimoja kinaitwa projectile motion hap hakuna mjanjaaa mm nilikuw nasukuma maswal lkn nlikua cjiamin maan niliumbuk san kun swal lip kweny pam la ally abdala lilinitoa jasho tangia hap nlipunguz moto

Ila kuna kitabu kinaitwa scholarship physics......yaan hiko kitabu cjui nani aliyetunga maana kina maswali hatar........yaan kusoma kwangu koote physics nilikuwa naona vumbi tuuunivarsity phisics ndo noma
kuna moden ABC nayo ipo bomba sanaunivarsity phisics ndo noma
Ila yote tisa physics huwa inawatesa sana watu wa PCBIla kuna kitabu kinaitwa scholarship physics......yaan hiko kitabu cjui nani aliyetunga maana kina maswali hatar........yaan kusoma kwangu koote physics nilikuwa naona vumbi tuu
pia ma pam ya said mgote nayo kakunja baadhi ya topicsIla kuna kitabu kinaitwa scholarship physics......yaan hiko kitabu cjui nani aliyetunga maana kina maswali hatar........yaan kusoma kwangu koote physics nilikuwa naona vumbi tuu
Ohooo abc nomaakuna moden ABC nayo ipo bomba sana
Yaani usinikumbushe kukesha ni jambo la kawaida halafu walivyokonda du hatari tupuMm nina pic za wauni wang wa pcb yan nkikuonyesh utachek ufe maaan mtyu kwenda kulala hatak kaz kulala class maan cjui huw anaofia km atafel,,,so mm nilikua mpga picha za wanaocnzia dalasani
Daaah e bana hiki kitabu ni kizito namaaaaaa asehkuna moden ABC nayo ipo bomba sana
unaipata eeeh kipo bomba sana nachoOhooo abc nomaa
mimi kwangu mende na panya ndio niliokuwa nawapenda zaidi af rahisi kuwa dissect ,pia michoro yao ni mi rahisi , mziki kwa chura baba, mara uufunge na kamba mshipa ili usitoe damu , dah ilikuwa ni shida kwa kweli
mkuu kwenye panya hapo ndio palikuwa shida kufunga kile kimshipa........ila kudissect mende ndio ilikuwa tabu hasa ikiwa mara yako ya kwanzaKweli mkuu.....maana unasoma kwa bidii halafu inazngua.......sasa ni bora kuchagua topics za kujibia mtihanIla yote tisa physics huwa inawatesa sana watu wa PCB
Hakuna kitabu kinachojitosheleza mkuu refer tom dancanpia ma pam ya said mgote nayo kakunja baadhi ya topics
Mgote yule mjamaa ni shida......unakuta ameweka maswali ya exercise magumu balaapia ma pam ya said mgote nayo kakunja baadhi ya topics
Kuna siku nliamk km 9 ucku mwenyew nmevaa nguo za skul fresh nn mzee nmekaa dakik 5 na Bs lang nikaze genetics,,,thubutu ucngz huo kutoka jau maan ndo nmeingia wadau watanicheka maan nmevaa uniform ful dah ilibid nizuge kwa kuach Bs waz na pen kat watu walijua nalid mzee nliend kulal nkaamk saa3 khaaa
