Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa

Organic nilisoma Mara tatu ndio nikaelewa dah physics ilikuwa mambo mbaya ukiingia kwenye pepa PCB shaft ujibu swali unalolijua kama unajaribu itakula kwako
 
mkuu kwenye panya hapo ndio palikuwa shida kufunga kile kimshipa........ila kudissect mende ndio ilikuwa tabu hasa ikiwa mara yako ya kwanza
yah mara ya kwanza mende alinisumbua sumbua , lakini kuna siku nikasema leo namfungia kazi lazima nimjue, basi kuanzia siku hiyo mende ndio akawa specimen ambaye nilikuwa natamani kila siku wamlete nilikuwa sichukui zaidi ya dakika 10
 
Kun mwanangu moja ye alitok skul iz za tec cjui walisom projectile wakt wak o level asa ndo tuna report nn aka ckia kun test ya projectile ye akaenda me nkamwambia joh hat twit hujapg na skul umechelew paper hutochomoa iyoo akasema ohooo mm nmesoma iyo topic o level yan ss watu wa tec bhn raha san topic nmeisom o level na huk nyiny ndo mnaisoma dah me nkamwambia gud bob nend,,,mzee mwamba alikula 10 ya 100 ten izo kumi ticha alimpa kwa ajir ya kukusany data na wino alioutumia,,,,,shabash!! Physics hainag utec
 
yah mara ya kwanza mende alinisumbua sumbua , lakini kuna siku nikasema leo namfungia kazi lazima nimjue, basi kuanzia siku hiyo mende ndio akawa specimen ambaye nilikuwa natamani kila siku wamlete nilikuwa sichukui zaidi ya dakika 10
Na ilivyokuwa rahisi kumchora......bac ni mteremko tuuu
 
Kun mwanangu moja ye alitok skul iz za tec cjui walisom projectile wakt wak o level asa ndo tuna report nn aka ckia kun test ya projectile ye akaenda me nkamwambia joh hat twit hujapg na skul umechelew paper hutochomoa iyoo akasema ohooo mm nmesoma iyo topic o level yan ss watu wa tec bhn raha san topic nmeisom o level na huk nyiny ndo mnaisoma dah me nkamwambia gud bob nend,,,mzee mwamba alikula 10 ya 100 ten izo kumi ticha alimpa kwa ajir ya kukusany data na wino alioutumia,,,,,shabash!! Physics hainag utec
Ila projectile haina mwenyewe
 
Organic nilisoma Mara tatu ndio nikaelewa dah physics ilikuwa mambo mbaya ukiingia kwenye pepa PCB shaft ujibu swali unalolijua kama unajaribu itakula kwako
Phys kama ndio swal unakutana nalo kwa mara ya kwanza kwenye mtihani lazima usande , maana utakuta swali moja hilo hilo limebeba concept za projectile , humo humo SHM na baadhi ya vi subtopics
 
Ila projectile haina mwenyewe
Projectile haina mwenyewe kweli ukiisoma utaona rahisi af fupi sana , njoo kwenye maswali sasa,sanasana yale ya ku prove ndo dah hatari na kama trig haipandi ndo kabisaaa
 
Kun mwanangu moja ye alitok skul iz za tec cjui walisom projectile wakt wak o level asa ndo tuna report nn aka ckia kun test ya projectile ye akaenda me nkamwambia joh hat twit hujapg na skul umechelew paper hutochomoa iyoo akasema ohooo mm nmesoma iyo topic o level yan ss watu wa tec bhn raha san topic nmeisom o level na huk nyiny ndo mnaisoma dah me nkamwambia gud bob nend,,,mzee mwamba alikula 10 ya 100 ten izo kumi ticha alimpa kwa ajir ya kukusany data na wino alioutumia,,,,,shabash!! Physics hainag utec
 
Mzee oganic nmesoma kwa walimu wote wakal unaowajua ww lakn waaaaap bt namshukulu mungu nilianza kuikeshea yenyew ucku yan kil cku kabl cjalal ni organic mzeee huwez amin wik mbil nilikua mtu mwingn kabsa mpk walikua wananiit mkandawile
 
Kun mwanangu moja ye alitok skul iz za tec cjui walisom projectile wakt wak o level asa ndo tuna report nn aka ckia kun test ya projectile ye akaenda me nkamwambia joh hat twit hujapg na skul umechelew paper hutochomoa iyoo akasema ohooo mm nmesoma iyo topic o level yan ss watu wa tec bhn raha san topic nmeisom o level na huk nyiny ndo mnaisoma dah me nkamwambia gud bob nend,,,mzee mwamba alikula 10 ya 100 ten izo kumi ticha alimpa kwa ajir ya kukusany data na wino alioutumia,,,,,shabash!! Physics hainag utec
Physics hainaga mjanja ,unaweza ukapasua pepa za shule lakini necta uka sanda
 
Projectile haina mwenyewe kweli ukiisoma utaona rahisi af fupi sana , njoo kwenye maswali sasa,sanasana yale ya ku prove ndo dah hatari na kama trig haipandi ndo kabisaaa
Yaan ni topic fupi ila imekusanya sub-topic kibaoo......sasa kama hujui sub topic moja ujue ndio bac tena......utaishia kupata maswali ya kuprove
 
Back
Top Bottom