Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,906
- 31,690
- Thread starter
- #81
nisha elewa una maanisha nin , ila ki ufupi watu tumechana fresh tu hatuna stress hata kidogoTarehe 12 turudi tena jamani tupeane ujuzi wetu wa PCB
nisha elewa una maanisha nin , ila ki ufupi watu tumechana fresh tu hatuna stress hata kidogoTarehe 12 turudi tena jamani tupeane ujuzi wetu wa PCB
Watani wa jadi hawa.....nisha elewa una maanisha nin , ila ki ufupi watu tumechana fresh tu hatuna stress hata kidogo

Ila tuliokuwa tunasoma boarding ndio ilikuwa balaa......yaan mnaenda kukamata mende chooni ili kesho muwapasuemoyo kweli mfano kwenye kupasua mende na panya nilikuwa naona kinyaa sana. ,ila baadaye nilizoea na nilikuwa naweza kupasua muda mwingine bila ya kuvaa gloves
Ohooo..!! kumbe kuna watu bado wanasubr TCU mi nashukuru BRN ya kawambwa ilinifanya nionekane fundi miaka hiyo sa hv namalizia boom la magufuliTarehe 12 turudi tena jamani tupeane ujuzi wetu wa PCB
dah aisee mule mule yaan, ila mimi niliwatumia zaidi day scholar wanitafutie na mimi nikiendelea kuwatafuta au muda mwingine niliwatumia wafanya usafi chooni pamoja na lab tech wanisaidieIla tuliokuwa tunasoma boarding ndio ilikuwa balaa......yaan mnaenda kukamata mende chooni ili kesho muwapasue
Kweli mkuu......na wengine wanasoma juu juu tuufunctional approach ni kitabu bomba sana ila watu wengi hawakijui tu ,jamaaa wanachimba sana
Acha tu labda tuwape BS na nelcon wakeshe nazoHao wanastahili adhabu ya kifo
Mpaka asubuh unaweza ukakuta wamesha zimia......japokuwa nelkon co kigumu sanaaAcha tu labda tuwape BS na nelcon wakeshe nazo
Ila bora za chura kuliko za mendeUnaambiwa uonyeshe
Vicera general
Digestive system
Nerve system
Reproductive system za chura
Ni mwendo wa kunywa michoro tu
Ha ha haa haa
I love biology
Nelcon tamu sanaMpaka asubuh unaweza ukakuta wamesha zimia......japokuwa nelkon co kigumu sanaa
univarsity phisics ndo nomaMpaka asubuh unaweza ukakuta wamesha zimia......japokuwa nelkon co kigumu sanaa
Vicera ndo ilikua inasumbua sanaUnaambiwa uonyeshe
Vicera general
Digestive system
Nerve system
Reproductive system za chura
Ni mwendo wa kunywa michoro tu
Ha ha haa haa
I love biology
Roger ni hatar......maana unaweza ukapiga maswali mawili tuu.....hayo mengine ukawa unabakia kuangalia tuuNelcon tamu sana
Lakini rogger
Ha haa haaRoger ni hatar......maana unaweza ukapiga maswali mawili tuu.....hayo mengine ukawa unabakia kuangalia tuu
mimi kwangu mende na panya ndio niliokuwa nawapenda zaidi af rahisi kuwa dissect ,pia michoro yao ni mi rahisi , mziki kwa chura baba, mara uufunge na kamba mshipa ili usitoe damu , dah ilikuwa ni shida kwa kweliIla bora za chura kuliko za mende