tupooooooooo tumejaaaa sema mimi nimesoma o level mpaka 2007. Baada ya form four yetu ndo wakahamishwa wale wengine.
mkuu tupo sana-mambo ya kombo,sere. Na mitaa mingine ya huko-kina mwalimu shoo na wadau wengine
aaah wapi, wewe utakuwa mtoto wa umbwe wewe. Tulikuwa tunawaonea sana nyietumewachapa sana nyie watoto wa buretta
hahaha tuliking'oa kibao cha umbwe tukaenda kichomeka kielekee maputo(chooni) walikua hawatuwezi hata kidogo. Wanakabwa pale kwenye nyasi za kombo hawawezi kujitetea maskini mpaka wawaite vijana wa lyamungo wanaojua karatee then ndo tuwasaidie kuwapiga vibaka
Wakuu mliopita lyamungo mnapatikana humu jamvini?