mmekutravella
Senior Member
- Apr 16, 2013
- 100
- 33
Daaah Lyamungo bhanaaa... Kwa waliomaliza mwaka Y2K nawaomba pleaseeeee....
Hahahaaaa nmepamic sanaasasa hivi ni mwendo wa madishi hakuna foleni tena
Ww nakuona cube 19 na jambia wako hahaaaa ulizeze .Ww mshenzi kumbe unapumua?Kumbe chidi hupo humu.vip umekakura kawali ka-wandiba au ndo unaenda kununua thamaki kwa mama mchafuuu...!
Mugogo yupo kwao tukuyu. Ni mkuu wa shuleLyamungo chama tupo hapa,
Mimi nilimaliza pale o level 2004 kipindi hicho yuko bureta,shoo(ameshastaafu na kwa sasa ana bar yake inaitwa snake bite iko karibu na kcmc hospital), lyaruu(sasa anafundisha mawenzi sekondari).
Nawakumbuka mwl. Kanyindo,masawe,nyela,lyatuu,kitalawe,vaileth,temba,mugogo n.k
Hahaha...mama LordKumbe chidi hupo humu.vip umekakura kawali ka-wandiba au ndo unaenda kununua thamaki kwa mama mchafuuu...!
Duuuuu umemsahau maza wangu...alikuwa mtaalamu Wa hesabu...mkumbuke basiLyamungo chama tupo hapa,
Mimi nilimaliza pale o level 2004 kipindi hicho yuko bureta,shoo(ameshastaafu na kwa sasa ana bar yake inaitwa snake bite iko karibu na kcmc hospital), lyaruu(sasa anafundisha mawenzi sekondari).
Nawakumbuka mwl. Kanyindo,masawe,nyela,lyatuu,kitalawe,vaileth,temba,mugogo n.k
Noma sanaNakumbuka siku form five walivyokatwa mikia.