Kuna jamaa alianzisha uzi akisema atajiua CDM ikishinda! What happened, sijaskia msiba wake!. Kuna ahadi zingine hutakiwi kamwe kuweka tena hadharani. We are waiting ujiue coz you promised!!!
Hata mimi nilikuwa nasubiri kusikia hilo. Alikuwa ni Rev. .... sasa nashangaa kama hadi sasa hajarudi kutuambia kwamba ndo anajinyonga. Au tayari ashajinyonga. Kuna yule mwingine alisema atatembea uchi toka wapi hadi posta. Kama sikosei alikuwa Ritz. hatuwasikii tena wakituambia wameishia wapi katika kutekeleza ahadi zao.
Mkinionea Rejao tafadhali mwambieni anitafute, na mwambieni siasa sio ugonvi!
Kuna jamaa alianzisha uzi akisema atajiua CDM ikishinda! What happened, sijaskia msiba wake!. Kuna ahadi zingine hutakiwi kamwe kuweka tena hadharani. We are waiting ujiue coz you promised!!!
keshakufa
Gongo ya mav* hiyo ilikuwa inamsumbua huyo,gongo mbaya!!!??mbaya zaidi ukinywa uchochoroni kwenye nyumba ya tope weeee balaaaaaaaa!!!!