Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,047
- 219,044
Tulishaona na kusikia humu humu JF sauti na video za kutengeneza zilizowahusu viongozi wa sasa na viongozi wastaafu waliodukuliwa huku wakidaiwa kumsengenya Aliyekuwa Rais wa Tanzania, ambaye sasa anaitwa mwendazake.
Wako waliojitokeza kuomba radhi, huku wengine wakitimuliwa kwenye Chama, majina yao yanafahamika na wala hatuna haja ya kuyarudia, Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kudukua ni kosa kubwa kisheria, japo wadukuaji hao hawakushitakiwa kwa mjumbe wa nyumba 10, serikali za mitaa ama mahakamani (japo naamini iko siku watadakwa na kushitakiwa).
Sasa swali langu ni hili, wadukuaji hao ambao wanafahamu makosa yao tangu mwanzo je walilipwa nini hadi kukubali kutumika kijinai ? Haya sasa mwenda chini hayupo watakuwa tayari kuomba radhi hadharani kwa makosa yao?
Nakala: Cheusi Mangala
Wako waliojitokeza kuomba radhi, huku wengine wakitimuliwa kwenye Chama, majina yao yanafahamika na wala hatuna haja ya kuyarudia, Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kudukua ni kosa kubwa kisheria, japo wadukuaji hao hawakushitakiwa kwa mjumbe wa nyumba 10, serikali za mitaa ama mahakamani (japo naamini iko siku watadakwa na kushitakiwa).
Sasa swali langu ni hili, wadukuaji hao ambao wanafahamu makosa yao tangu mwanzo je walilipwa nini hadi kukubali kutumika kijinai ? Haya sasa mwenda chini hayupo watakuwa tayari kuomba radhi hadharani kwa makosa yao?
Nakala: Cheusi Mangala