Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 25
Jana ilikuwa ni siku ya kamata kamata kwa wale wote waliojihusisha na kusafirisha wanyama pori kupitia KIA. Sina uhakika na idadi ya watuhumiwa waliokamatwa ila uhakika nilionao ni kwamba wahusika wakuu Jana walikamatwa na walishindwa kutimiza masharti ya dhamana hivyo kuwekwa selo mpaka hivi sasa. Nitakuwa nikiwajuza kadri mambo takavyokuwa yakiendelea.