Jafar, ukiona sinia linateremshwa wewe kaa mkao wa kula!
Asante Mwanakijiji. Mahojiano mafupi, na yaloshiba taarifa muhimu. Kumbe mheshimiwa alikuwa barabarani na anaendesha mwenyewe gari. Anastahili kuwa na dereva, au siyo? Na kupokea simu wakti anaendesha gari ni hatari kwa usalama wake. Mkumbushe ajiangalie usalama wake pia, twamhitaji sana huyu mheshimiwa, ni mtu muhimu sana kwa nchi yetu.
Naomba kuuliza swali,, Hivi PMO walitoa ushirikiano pia kwa kamati ya Madini? Waliwaandaa pia maofisa na wananchi kutoa ushahidi kwenye kamati ya madini ama ni hii tu ya Richmond? Je, KULIKONI?
Naomba kuuliza swali,, Hivi PMO walitoa ushirikiano pia kwa kamati ya Madini? Waliwaandaa pia maofisa na wananchi kutoa ushahidi kwenye kamati ya madini ama ni hii tu ya Richmond? Je, KULIKONI?
Mkuu Halisi,
Lowassa na genge lake wanatuona Watanzania wote wajinga, wanaona wanaweza kufanya madudu yoyote wanayotaka bila kuumbuliwa. Lakini hapa duniani kila jambo lina mwisho, swali kwasasa ni je huu ndio mwanzo wa mwisho wa Lowassa? Au ndio usanii ule ule wa kila siku?
Kamati ya Richmond 'yahamia' Marekani
Wajumbe wa kamati hiyo inayoundwa na Wabunge watano waliokwenda kufanya mahojiano nje ya nchi kuanzia Desemba 10 mwaka huu, ni Bibi Stella Manyanya, Bw. Mohamed Mnyaa na Bw. Lukas Selelii. Wamefuatana na katibu wa Bunge Bw. Anselim Lyatonga Mrema.
Wajumbe hao ambao kwa mujibu wa Dkt. Mwakyembe, waliondoka jana Washington, D.C., kwenda Houston, Texas, na wanatarajiwa kurejea nchini Desemba 15 mwaka huu, siku ambayo walitarajiwa kukabidhi ripoti yao kabla ya kuongezewa muda.
Source: Majira
Re:
Keil
View Post
Kamati ya Richmond 'yahamia' Marekani
Wajumbe wa kamati hiyo inayoundwa na Wabunge watano waliokwenda kufanya mahojiano nje ya nchi kuanzia Desemba 10 mwaka huu, ni Bibi Stella Manyanya, Bw. Mohamed Mnyaa na Bw. Lukas Selelii. Wamefuatana na katibu wa Bunge Bw. Anselim Lyatonga Mrema.
Wajumbe hao ambao kwa mujibu wa Dkt. Mwakyembe, waliondoka jana Washington, D.C., kwenda Houston, Texas, na wanatarajiwa kurejea nchini Desemba 15 mwaka huu, siku ambayo walitarajiwa kukabidhi ripoti yao kabla ya kuongezewa muda.
Source: Majira
Jamani samahani kutoka kwenye topic kidogo, ni curiosity tu ndio inanisumbua, huyo katibu wa Bunge ana undugu na Mzee wetu wa kiraracha?
Reply With Quote
Mapendekezo 18 ya Kamati ya Mwakyembe....speak from the roots, not the branches!!!!,,,,,JE, MAPENDEKEZO YA ILE KAMATI YA DR. MWAKYEMBE YALIFANYIWA KAZI??????
ile issue bora wangeendesha tu akina dr. slaa coz wat i see by that time mwakyembe was very commited ila sasa baadaye aliangalia maslahi ya chama zaidi and kwa upande wa kamati unaona walivyokuja kunywea so it goes as we see now hata mwakyembe wa 2008 sio huyu wa sasa ingekuwa sio waziri i think hiki kipindi angeuza sana magazeti ila this time is under conditions hata kama anaongea not that much.
Shelukindo1.lucas seleli...
2.habib mnyaa
3.injinia stela manyanya
4.........
5.........