Jafar, ukiona sinia linateremshwa wewe kaa mkao wa kula!
Mwanakijiji,
Usije ukashangaa kwenye sinia unaletewe mawe, sijui utayala huku ulishaanza kutoa mate ya tamaa? Tuna wasanii wengi TZ, kwahiyo lolote linawezekana, tusubiri sinia limetelemshwa chini na kweli ndani yake kuna ubwabwa, vinginevyo tunaweza kufungwa goli na hawa watu.