taifa limegawanyika maana kwenye kulipa kodi tunalipa wote lakini likija swala la kusoma ni huyu anaweza kupewa mkopo ambao ni kodi za wote lakini huyu hawezi maana wazazi wake wana uwezo Eti tunataka kwenda kwenye uchumi wa kati na ubaguzi huu maana kesho utasikia huyu alisomeshwa na wazazi wake kwa hiyo ana uwezo so hatuwezi kumpatia ajira