Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Tumia akili siku ingine, serikali haina hasara iko radhi imtoe daktari popote ulaya na imlipe kila kituu kuliko kufanya long term plan
Ni kweli mkuu ila issue ni kupata nafasi coz serikali ina vyuo viwili tu.Ada ya udaktari vyuo vya serikali ni ndogo sana mkuu. Labda apate ufaulu wa chini aende akasome vyuo binafsi.
Chuo kimoja cha serikali kinachotoa shahada ya Udaktari wa binadamu? Ila ukiulizwa Diamond ana mademu wangapi utatujia mpaka jina lake la utotoniNi kweli mkuu ila issue ni kupata nafasi coz serikali ina chuo kimoja tu.
Mkuu siku hizi UDOM pia wanadahili wanafunzi wa taaluma ya udaktari ila sijajua ni wanafunzi wangapi kwa mwaka wanachukuaNi kweli mkuu ila issue ni kupata nafasi coz serikali ina chuo kimoja tu.
Ok. Vyuo ni viwili. Haya turudi kwenye mada.Chuo kimoja cha serikali kinachotoa shahada ya Udaktari wa binadamu? Ila ukiulizwa Diamond ana mademu wangapi utatujia mpaka jina lake la utotoni
Asante mkuu. Nimesharekebisha.Mkuu siku hizi UDOM pia wanadahili wanafunzi wa taaluma ya udaktari ila sijajua ni wanafunzi wangapi kwa mwaka wanachukua
Ni kweli boss ni haki ya kila mwanafunzi aliyefaulu kupata mkopo, shida inakuja kwenye sifa za kupata mkopo, ukianzia sifa ya kwanza mpaka ya mwisho na ukizingatia na bajeti ni lazima wamchukue yule masikini maana ukimuacha ndo kumuangamiza kabisa maana hatoweza kumudu ada.Christeve88 kumbuka tunazungumzia mkopo si ruzuku,huo ni mkopo ambao utalipwa,hivyo hujaambiwa umkopeshe wa ada ml5 dv 1 na umuache wa ada laki 1 dv2,hoja hapa ni kila mwanafunzi anahitaji mkopo
Unaweza kumtambuaje masikini aliyesoma kwa ufadhili ?Mkopo wapewe watoto wa masikini. Hao ndo hawana alternative.
Ova.
Na kama ni MKOPO kwa nini umnyime mkopaji? Kwa nini uangalie shule aliyotoka wakati yeye anahitaji mkopo na atafanya kazi au biashara au kilimo alipe huo mkopo? Kama kufaulu ni janga basi waliopata division ziro nao serikali iwakopeshe kiasi cha hela cha kufanyia mradi wowote watakao.Tumia akili kufikiria mkuu..huo ni mkopo kwa wale wasioweza kujisomesha chuo na sio fadhila kwa waliofaulu
Ni kichekesho sanaTumia akili kufikiria mkuu..huo ni mkopo kwa wale wasioweza kujisomesha chuo na sio fadhila kwa waliofaulu
Mtoa mada, Hebu acha Ujinga bana.Ni full vinyongo,kukomoana na roho mbaya! Kodi tulipe wote ila waifaidi wachache kwa matakwa ya watu fulani tu....
Halafu tunataka kwenda tanzania ya viwanda na uchumi wa kati..Kama hatuwezi kuthamini watu kama hawa sijui tunataka nini.. But CCM hazina yao ni mabumbumbu na vilaza wala tusishangae. Mwalimu Nyerere angeamua kufanya kama wanavyofanya wao sijui wangekua wapi tena wengien Maprofesa wamesoma kwa fedha zetu bure kabisa.
Nchi za wenzetu watu kama hawa wala hawakopeshwi ila wanasomeshwa bure tena scholarship za serikali au Chuo moja kwa moja! Tuendelee kudhulumu watu korosho zao tu ndicho tunachoweza.
Unaweza kumtambuaje masikini aliyesoma kwa ufadhili ?
Mleta uzi ni mtu wa hovyo hovyo